Angalau hata umekumbuka,ukipata mtoto usisahau kumpa jina mojawapo za avatar humu jamii forums.
Duh,paka kipofu hula panya waliokufa
hongera sana huyo mchumba umempata hukuhuku jamvini au?
Kumbe? Aisee na mimi nitaanzisha thread baada ya mfungo mtukufu.
Kumbe? Aisee na mimi nitaanzisha thread baada ya mfungo mtukufu.
Nitoe njia panda mkuu, sielewi!!paka kipofu hula panya waliokufa
Thanks for the tip...Na wewe uweke tangazo lako saa tisa na dakika 50.
Haswaaa.... au hata wachumba bomu!Okay,the earlier the better kabla 'wachumba' bora hawajaisha ukaishia kupata 'Bora Mchumba'!
Habari wakuu,
Kama mtakumbuka mnamo tarehe 10 mwezi mei mwaka huu mnamo saa tisa na dakika 50 nilipost thread ya kutafuta mchumba. Ingawa zoezi lilikuwa gumu sana lakini napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipatie mchumba bora. Taratibu zote kwa mujibu wa mila nimezifuata na napenda kusema kuwa tutafunga ndoa katika kipindi cha miezi sita ijayo.
Napenda kuishukuru JF kwa kuniwezesha kupata mchumba bora ambaye natarajia atakuwa mke bora.
Nawashukuru wadau wote walionipa ushauri kupitia jamvini humu na wale waliojitokeza kutaka niwe mume mtarajiwa wao.
Mwisho: Mitandao ya kijamii ni mitandao inayoweza kuleta mapinduzi makubwa sana katika nchi yetu. Tuitumie vema ili tupate maendeleo na tupinge kwa nguvu zetu zote ubeberu wa aina yoyote wenye lengo la kuifungia au kuiwekea vikwazo mitandao ya kijamii, na hapa nazungumzia JAMII FORUM.
Nawasilisha.
Habari wakuu,
Kama mtakumbuka mnamo tarehe 10 mwezi mei mwaka huu mnamo saa tisa na dakika 50 nilipost thread ya kutafuta mchumba. Ingawa zoezi lilikuwa gumu sana lakini napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipatie mchumba bora. Taratibu zote kwa mujibu wa mila nimezifuata na napenda kusema kuwa tutafunga ndoa katika kipindi cha miezi sita ijayo.
Napenda kuishukuru JF kwa kuniwezesha kupata mchumba bora ambaye natarajia atakuwa mke bora.
Nawashukuru wadau wote walionipa ushauri kupitia jamvini humu na wale waliojitokeza kutaka niwe mume mtarajiwa wao.
Mwisho: Mitandao ya kijamii ni mitandao inayoweza kuleta mapinduzi makubwa sana katika nchi yetu. Tuitumie vema ili tupate maendeleo na tupinge kwa nguvu zetu zote ubeberu wa aina yoyote wenye lengo la kuifungia au kuiwekea vikwazo mitandao ya kijamii, na hapa nazungumzia JAMII FORUM.
Nawasilisha.