Naishi naye ndio, Lakini...

Pole mkuu. I feel your situation japo kuna sehemu umeamua kupindisha ukweli.
Naomba comment yangu iende kwa akina dada.. Acheni tabia ya kubeba ujauzito pasipo makubaliano. Kufanya ngono haimaanishi kuzaa.. Via vya uzazi vya binadamu vilipewa kazi nyingine ya kuuburudisha mwili.. Inachukiza sana watu mmekubaliana mnauburudisha mwili halafu baada ya week 3 mtu anakwambia nina mimba yako lkn SITOI. Utafikiri alikutegeshea. Baadaye huko mje muwasimulie watoto eti babako alikukataa.. Love and Affection kwa mtoto huanza kabla ya Mimba. Makubaliano wakati wa maandalizi ya kubeba ujauzito yanabeba maana halisi ya upendo wa baba na mama kwa mtoto. Mimba za kulazimishana bhana.
I once was in a similar situation.. inabore kinyama.
 
Ha ha haaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbavu zangu jaman
 
Umemaliza yote niliyotaka kusema...
Mkuu huyu uliyenae kitanda kimoja na kwichikwichi deile ndio mkeo huyu hata sheria ya selikari inamtambua maana mmeishi kwa miaka mitatu na mtoto juu, anyway....huyo mchumba wako yy bado anakusubiliaga tu mpamge malengo mpaka leo?? Nakushauri anza kumpenda mkeo na hiyo mipango kabambe panga na mkeo na mtafanikiwa, kikubwa kwa sasa fanya mipango ya kubariki ndoa yako na uifanye iwe rasmi...
 
Ila wanaume mna roho ngumu sana,mna maamuzi chenga sana yaani,na ubinafsi umejaa ona una jali tu furaha yako ya huyo uliyemzalisha wala hujali.
 
Ila wanaume mna roho ngumu sana,mna maamuzi chenga sana yaani,na ubinafsi umejaa ona una jali tu furaha yako ya huyo uliyemzalisha wala hujali.
Ukisema wanaume tu ndo tuna roho ngumu unakua mbinafsi pia haya mambo sasa hivi si ya upande mmoja japo linapotokea anayeonekana anaonewa ni mwanamke.

Kiukweli jamaa yuko wazi hampendi huyo mama ilitokea tu mimba bahati mbaya sasa katika hali kama hiyo ukioana na mtu ambaye hayuko moyoni mwako utamtesa bure ni bora kuishi bila ndoa kuliko kuishi kwenye ndoa yenye matatizo.
 
Una undugu na uyo mchumba anayependwa au ndo wewe???
Unataka kunambia kuwa ushauri wako Ndio wa mwisho, tusimshauri, au huyo dada amekosea kumsamehe jamaa hivo hafai kuwa mke
 
Jamaa ataumia tu kwa maamuzi yoyote atakayeyachukua maana kawapotezea muda wote 2
Mimi pia ni muumini wa hicho ulicho-comment.

Tatizo huyu mtoa mada kakaa na mtoto wa watu miaka minne (jumlisha na kulea mimba) wakipika na kupakua. Ingekuwa ni kipindi kifupi kidogo ingeleta mantiki.
 
Fikiri mara 2 mkuu, Kuna uwezekano mkubwa wa kumuumiza huyo dada, kama hujawahi ona au kusikia sawa, halafu kwa nini mnamuhukumu huyo future wife wake amekosea wapi? Kusamehe au nini, na kwa nini mnamtabiria mabaya? Kwani huyo anayeishi naye hawezi badilika akiamua? Nafikiri uamuzi ni wa kwake maana kayakoroga mwenyewe
 
Huyo huyo jenga nae hayo malengo makubwa mkuu

Wahenga waliposema mpende akupendae hawakukosea kabisa

La sivyo utakuja kujuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…