Calculator24
New Member
- Feb 29, 2024
- 1
- 4
Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?
Huyo sio mkeo....mkeo ni yule unaishi nae,na kama umechoka achana na hio biashara ya mapenzi na uyo mwanamke cheki ingineNaishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?
Ishi Karibu naye.Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?
Mshenga yupo?Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?
Mwangalie sana DeepPond mwamba ndie atakuwa mbaya wako mkuu we chunguza maandiko yake Mkuu.Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?
Asiye na dhambi na aanze kumuacha mwenzakeUkishakaa mbali na Mkeo, kubali kuchapiwa.
Ila kataa kuendelea naye ikiwa utathibitisha kua analiwa tayari.
Hii haijawai kutokea.Mkuu unataka kumaliza mgogoro wa mapenzi kwa kura? Umetisha
Jamaa mzinguajiHii haijawai kutokea.
Wangapi wanasimama na mke/mme 😂
Mtumie meseji, mitandao yetu sio ya kuamini sana.Naishi mbali na mke wangu, kila napompigia simu yake inatumika nifanyaje nimechoka?