Naishauri Serikali isiwatumie ambao sio watumishi kwenye sensa, maeneo mengi wameharibu kazi na hakuna njia ya kuwajibisha

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,928
Naishauri Serikali isiwatumie watu ambao sio watumishi wa umma kwenye zoezi la sensa na sababu ni hizi.
1. Wengi wanaomba maeneo ambayo hawayajui hivyo wanalipua ili wawahi kuondoka mfano mtu anakaa Dar es Salaam anaomba kazi ya sensa Matombo hapa atalipuwa ili amalize haraka aondoke.

2. Watumishi wenu wa umma wao wanafungwa na kanuni za kiutumishi kuwa watiifu hata akiharibu ipo namna ya kumuwajibisha.

3. Watumishi wengi wako kwenye maeneo yao ya kazi (within localities) hivyo kuongeza tija ya kazi ubora na ufanisi.

4. Kuna maeneo sensa ya makazi wameharibu kwasababu wamepewa kazi kwa kujuana na mabosi wa halmashauri walipoharibu wakatumwa walimu warudie tena bila malipo yoyote msipowafikiria hawa kazi ikiharibika tena itatafsirika mnaihujumu Serikali makusudi.
 
Naishauri serikali isiwatumie watu ambao sio watumishi wa umma Kwenye zoezi la sensa na sababu ni hizi.
1. Wengi wanaomba maeneo ambayo hawayajui hivyo wanalipua ili wawahi kuondoka mfano mtu anakaa dar es salaam anaomba kazi ya sensa matombo hapa atalipuwa ili amalize haraka aondoke.
2. Watumishi wenu wa umma wao wanafungwa na kanuni za kiutumishi kuwa watiifu hata akiharibu ipo namna ya kumwajibisha.
3. Watumishi wengi wako Kwenye maeneo yao ya kazi (within localities) hivyo kuongeza tija ya kazi ubora na ufanisi.
4. Kuna maeneo sensa ya makazi wameharibu kwasababu wamepewa kazi kwa kujuana na mabosi wa halmashauri walipoharibu wakatumwa walimu warudie tena bila malipo yoyote msipowafikiria hawa kazi ikiharibika tena itatafsirika mnaihujumu serikali makusudi.
Yawezekana wewe peke yako ndio una akili sana kuliko jopo la watu lililopendekeza kwamba mwananchi yeyote mwenye sifa afanye hiyo kazi.

Watu kama nyie ndio hamfai hata chembe kuwa viongozi sababu mnaonekana kabisa kuwa mna roho za kwanini.

Hata huko unapokaa inaonekana wazi wazi kuwa una roho za kichawi wewe maana ndio miongoni mwa watu ambao hamna mahusiano mazuri na majirani kwa tabia zenu za Kiswahili.
 
Naishauri serikali isiwatumie watu ambao sio watumishi wa umma Kwenye zoezi la sensa na sababu ni hizi.
1. Wengi wanaomba maeneo ambayo hawayajui hivyo wanalipua ili wawahi kuondoka mfano mtu anakaa dar es salaam anaomba kazi ya sensa matombo hapa atalipuwa ili amalize haraka aondoke.
2. Watumishi wenu wa umma wao wanafungwa na kanuni za kiutumishi kuwa watiifu hata akiharibu ipo namna ya kumwajibisha.
3. Watumishi wengi wako Kwenye maeneo yao ya kazi (within localities) hivyo kuongeza tija ya kazi ubora na ufanisi.
4. Kuna maeneo sensa ya makazi wameharibu kwasababu wamepewa kazi kwa kujuana na mabosi wa halmashauri walipoharibu wakatumwa walimu warudie tena bila malipo yoyote msipowafikiria hawa kazi ikiharibika tena itatafsirika mnaihujumu serikali makusudi.
Kwani mbona tume ya uchaguzi ni wabobezi wa sheria lakini walivuruga uchaguzi mkuu wa 2020.
 
yawezekana wewe peke yako ndio una akili sana kuliko jopo labwatu lililopendekeza kwamba mwana nchi yeyote mwenye sifa afanye hiyo kazi

watu kama nyie ndio hamfai hata chembe kuwa viongozi sababu mnaonekana kabisa kuwa mna roho za kwanini

hata uko unapokaa inaonekana wazi wazi kuwa una roho za kichawi wewe maana ndio miongoni mwa watu ambao hamna mahusiano mazuri na majirani kwa tabia zenu za kiswahil
Hapa hatuongelei majungu kuna maeneo hao unaowapigia chapuo wameharibu kazi unakuta mtaa mzima haujajazwa na sehemu nyingine nyumba nyingi wamejaza sijui sijui sijui sijui sijui ili kupika data wawahi kuondoka mimi Sina maslahi ya utumishi wa umma ila hela ya serikali lazima itumike kwa tija mifano ipo wazi na serikali inajua kuitaja hapa ni kuwaweka watu matatizoni.
 
Naishauri serikali isiwatumie watu ambao sio watumishi wa umma Kwenye zoezi la sensa na sababu ni hizi.
1. Wengi wanaomba maeneo ambayo hawayajui hivyo wanalipua ili wawahi kuondoka mfano mtu anakaa dar es salaam anaomba kazi ya sensa matombo hapa atalipuwa ili amalize haraka aondoke.
2. Watumishi wenu wa umma wao wanafungwa na kanuni za kiutumishi kuwa watiifu hata akiharibu ipo namna ya kumwajibisha.
3. Watumishi wengi wako Kwenye maeneo yao ya kazi (within localities) hivyo kuongeza tija ya kazi ubora na ufanisi.
4. Kuna maeneo sensa ya makazi wameharibu kwasababu wamepewa kazi kwa kujuana na mabosi wa halmashauri walipoharibu wakatumwa walimu warudie tena bila malipo yoyote msipowafikiria hawa kazi ikiharibika tena itatafsirika mnaihujumu serikali makusudi.
Nilitaka niongee hili jambo, vinginevyo inaweza kuwa disaster
 
yawezekana wewe peke yako ndio una akili sana kuliko jopo labwatu lililopendekeza kwamba mwana nchi yeyote mwenye sifa afanye hiyo kazi

watu kama nyie ndio hamfai hata chembe kuwa viongozi sababu mnaonekana kabisa kuwa mna roho za kwanini

hata uko unapokaa inaonekana wazi wazi kuwa una roho za kichawi wewe maana ndio miongoni mwa watu ambao hamna mahusiano mazuri na majirani kwa tabia zenu za kiswahil
Ni mwalimu huyo....yaani sijui hii kada INA nini....matatizo tupu yaani
 
Naishauri serikali isiwatumie watu ambao sio watumishi wa umma Kwenye zoezi la sensa na sababu ni hizi.
1. Wengi wanaomba maeneo ambayo hawayajui hivyo wanalipua ili wawahi kuondoka mfano mtu anakaa dar es salaam anaomba kazi ya sensa matombo hapa atalipuwa ili amalize haraka aondoke.
2. Watumishi wenu wa umma wao wanafungwa na kanuni za kiutumishi kuwa watiifu hata akiharibu ipo namna ya kumwajibisha.
3. Watumishi wengi wako Kwenye maeneo yao ya kazi (within localities) hivyo kuongeza tija ya kazi ubora na ufanisi.
4. Kuna maeneo sensa ya makazi wameharibu kwasababu wamepewa kazi kwa kujuana na mabosi wa halmashauri walipoharibu wakatumwa walimu warudie tena bila malipo yoyote msipowafikiria hawa kazi ikiharibika tena itatafsirika mnaihujumu serikali makusudi.
Dogo,
Kuna vijana wamehitimu masomo tangu 2015 na miaka iliyofuatia wakakosa KAZI hadi sasa wapo wapo tu, hiyo tempo ya Sensa nayo unajitahidi kawazibia🙄
Hao watumishi unaopigia chapuo ni wa sekta gani, na ufanisi wao upoje huko walipo?

Ni bora tuache ubaguzi, wenye sifa na vigezo wapewe hizo kazi
 
Nielewe ndugu yangu mimi sio mtumishi wa umma ila naangalia tija ya kazi vijana wengi hawa walioko mitaani kweli tunapenda wapate kazi lakini je umakini wao ukoje Kwenye kazi nyeti za kitaifa? Mtu anakaa Morogoro mjini amepiga dili anaenda kuhesabu watu dakawa au dumila ili jioni arudi morogoro mjini sasa nikuulize swali Kati ya huyu kijana anaekaa morogoro mjini na mwalimu wa dakawa sekondari au dakawa shule ya msingi nani atafanya kazi nzuri kwa uaminifu? Sio kila kitu mnaangalia maslahi !!
Ni mwalimu huyo....yaani sijui hii kada INA nini....matatizo tupu yaani
Ewe
 
Kutoka dakawa mpaka Morogoro mjini ni kama km 30 akishahesabu amechoka anawaza kupanda hiace arudi morogoro mjini akale kuku kwa hela ya sensa huku kazi ameharibu acheni utani na mambo ya msingi.
 
Nielewe ndugu yangu mimi sio mtumishi wa umma ila naangalia tija ya kazi vijana wengi hawa walioko mitaani kweli tunapenda wapate kazi lakini je umakini wao ukoje Kwenye kazi nyeti za kitaifa? Mtu anakaa Morogoro mjini amepiga dili anaenda kuhesabu watu dakawa au dumila ili jioni arudi morogoro mjini sasa nikuulize swali Kati ya huyu kijana anaekaa morogoro mjini na mwalimu wa dakawa sekondari au dakawa shule ya msingi nani atafanya kazi nzuri kwa uaminifu? Sio kila kitu mnaangalia maslahi !!

Ewe
Watapewa semina acheni roho mbaya....kikubwa kuna wasimamizi mie naona vijana wapewe tuu maana pia ni njia ya wao kupata experience kushiriki kazi za serikali....ndio maana watu hawataki hata kustaafu kwa kudhani hawapo vijana wa kufanya kazi kama wao.
 
Huo ni ubinafsi kwanini watumie waajiriwa hali wasio na ajira ni wengi hizo pesa wangepata mitaji ya kujikwamua.
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Naishauri serikali isiwatumie watu ambao sio watumishi wa umma Kwenye zoezi la sensa na sababu ni hizi.
1. Wengi wanaomba maeneo ambayo hawayajui hivyo wanalipua ili wawahi kuondoka mfano mtu anakaa dar es salaam anaomba kazi ya sensa matombo hapa atalipuwa ili amalize haraka aondoke.
2. Watumishi wenu wa umma wao wanafungwa na kanuni za kiutumishi kuwa watiifu hata akiharibu ipo namna ya kumwajibisha.
3. Watumishi wengi wako Kwenye maeneo yao ya kazi (within localities) hivyo kuongeza tija ya kazi ubora na ufanisi.
4. Kuna maeneo sensa ya makazi wameharibu kwasababu wamepewa kazi kwa kujuana na mabosi wa halmashauri walipoharibu wakatumwa walimu warudie tena bila malipo yoyote msipowafikiria hawa kazi ikiharibika tena itatafsirika mnaihujumu serikali makusudi.
Binadamu kama huyu ni wa kuogopa kama ukoma.

Hizi ni nafasi za ajira hivyo watafutwe vijana wenye elimu waliokosa ajira ili nao wajiingizie chochote.

Na kitu ambacho jamii haikijui ni kwamba watumishi wa umma ndiyo watumishi wanaoongoza kwa uzembe.

Nenda shule ya umma utazame ufundishaji wa walimu wa umma na nenda shule ya binafsi ulinganishe.
nenda hospitali za umma na za binafsi ulinganishe.

Sekita binafsi anaweza kufanya kazi kwa malipo yaleyale na akapitiliza mpaka mda wa ziada bila kudai overtime lakini mtumishi wa umma wengi wanaacha kufanya kazi mda wa kawaida na kutegea ili mda upite ili walipwe overtime.

Kijana aliyeko mtaani hata ukimwambia anza kazi saa 12 asubuhi na malizia saa 2 usiku hana shida lakini mtumishi wa umma atafika saa 2 na saa 10 jioni anafunga. hawa wameshazoea maisha haya lakini kikubwa waridhike na kile wanachokipata na hizi ziwe fursa kwa wengine wasio na ajira.
 
Hapa hatuongelei majungu kuna maeneo hao unaowapigia chapuo wameharibu kazi unakuta mtaa mzima haujajazwa na sehemu nyingine nyumba nyingi wamejaza sijui sijui sijui sijui sijui ili kupika data wawahi kuondoka mimi Sina maslahi ya utumishi wa umma ila hela ya serikali lazima itumike kwa tija mifano ipo wazi na serikali inajua kuitaja hapa ni kuwaweka watu matatizoni.
Lini mtaa haukujazwa? Na nyumba zilijazwa sijui, sijui sijui maana yake Nini? Kwani sensa imeshafanyika? Mbona una wasiwasi? Sensa inafanyika mwezi was nane au nadangaya ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom