Nairobi - New york flights advertised in times square New York

Wakenya ukweli tunausema.

Mmetusitiri jirani kutupunguzia urefu na gharama safari za Tanzania.

Najua kuna vi beef vya kitoto hapa Wakenya na Watanzania.

Ila mimi kwenye ukweli sisiti kusema.

Hii ndege hata mimi nitafurahi kupanda.

Ila service mkileta za ajabu tutapita Zurich tu na Swissair.
 
Wakenya ukweli tunausema.

Mmetusitiri jirani kutupunguzia urefu na gharama safari za Tanzania.

Najua kuna vi beef vya kitoto haoa Wakenya nabm Watanzania.

Ila mimi kwenye ukweli sisiti kusema.

Huu ndege hata mimi nitafurahi kuoanda.

Ila service mkileta za ajabu tutapita Zurich tu na Swissair.

Ni hatua kubwa sana imepigwa na KQ, ila uboreshaji uwe ndo kigezo. Ule msamiati wa "overbook" ambao ni wa kawaida KQ uishe sasa.
 
Ni hatua kubwa sana imepigwa na KQ, ila uboreshaji uwe ndo kigezo. Ule msamiati wa "overbook" ambao ni wa kawaida KQ uishe sasa.
Biashara ikizidiwa demand ni tatizo zuri. Maana yake mfanyabiashara ana nafasi ya kuongeza biashara.

Nawaombea wakipata overbook waongeze ndege. Kama wanaanza na moja kwa siku ziwe mbili.

Nafikiri watakamata market ya US - East Africa.

Yani hapo watu kuanzia South Sudan, Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda, Burundi mpaka Congo tutapanda ndege hii.

Na siku hizi watu wanakuja sana US na kurudi huko nyumbani.

Ila Rwanda anaandaa direct flight yake hivyo competition inakuja muda tu.

Hakuna mtu atakayetaka kupitia Europe bila sababu.
 
Is this supposed to be a big deal or something?

Only because it’s New York that’s why some of y’all are overly excited.

Had it been Kathmandu or Tirana I doubt you’d show this much excitement.

With regards to the route/ flight itself, I don’t plan on flying Kenya Airways on long haul flights for quiet some time.
 
Is this supposed to be a big deal or something?

Only because it’s New York that’s why some of y’all are overly excited.

Had it been Kathmandu or Tirana I doubt you’d show this much excitement.

With regards to the route/ flight itself, I don’t plan on flying Kenya Airways on long haul flights for quiet some time.
New York is the capital of the world.

That's why every September world leaders descend on it for the UNGA.

They don't go to ATL.

Hahaaaa.
.
 
Biashara ikizidiwa demand ni tatizo zuri. Maana yake mfanyabiashara ana nafasi ya kuongeza biashara.

Nawaombea wakipata overbook waongeze ndege. Kama wanaanza na moja kwa siku ziwe mbili.

Nafikiri watakamata market ya US - East Africa.

Yani hapo watu kuanzia South Sudan, Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda, Burundi mpaka Congo tutapanda ndege hii.

Na siku hizi watu wanakuja sana US na kurudi huko nyumbani.

Ila Rwanda anaandaa direct flight yake hivyo competition inakuja muda tu.

Hakuna mtu atakayetaka kupitia Europe bila sababu.

Yaa ni kweli mkulu. Hilo likitokea waongeze nr of flight per week. Lkn issue ni pale overbook inapotokea una connect na si unapoanzia flight. It's real disturbing.
Lkn hata sasa hulazimiki kupitia Ulaya. Waweza pitia, Dubai, Qatar au Adis. Mfano Emirates ni wazuri sana. waweza tumia hiyo.
 
vile Geza anaiona hii advert
1540901696668.png
 
Back
Top Bottom