Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
NAFTAL BENET anahojiwa sasahivi kwenye kipindi cha hard talk BBC anasema yeye mwenyewe kama komando alishiriki vita ya 2002 na kuwateketeza magaidi.
Pia anasema waaipoipiga HAMAS sasa na kuvunja vunja magaidi ya kiislamu basi kuna siku yatazilipua LONDON NA NEW YORK.
Na mwisho amemalizia kwa kusema hawatawapa wapalestina ardhi tena kwasababu wameshajifunza mara tatu kwamba ukiwapa ardhi waishi kwa amani kama majirani wao wapalestina wanawageuka na kuanza kuuwa wayahudi kwahiyo hawatarudia tena hilo kosa.
Kwa ushahidi angalia BBC you tube.
Pia anasema waaipoipiga HAMAS sasa na kuvunja vunja magaidi ya kiislamu basi kuna siku yatazilipua LONDON NA NEW YORK.
Na mwisho amemalizia kwa kusema hawatawapa wapalestina ardhi tena kwasababu wameshajifunza mara tatu kwamba ukiwapa ardhi waishi kwa amani kama majirani wao wapalestina wanawageuka na kuanza kuuwa wayahudi kwahiyo hawatarudia tena hilo kosa.
Kwa ushahidi angalia BBC you tube.