Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,285
Baada ya kuingia 16 bora, atacheza na Australia halafu kwenye robo fainali atakutana na mshindi kati ya Uholanzi na Marekani.
Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu.
Kiutani namna hii Argentina anakwenda kubeba kombe la dunia 2022.
Rejea Nawapongeza Senegal kwa Kufuzu Hatua ya 16 bora Kombe la Dunia 2022
Hapo Argentina wanawaza watakutana na nani kwenye nusu fainali maana hakuna timu yoyote ya kuwasumbua katika hizo tajwa hapo juu.
Kiutani namna hii Argentina anakwenda kubeba kombe la dunia 2022.
Rejea Nawapongeza Senegal kwa Kufuzu Hatua ya 16 bora Kombe la Dunia 2022