Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Kma umeamua kutumia windows phone bila yashaka utakua ni mfanyakazi ambae unafanya kazi zako kwa office package coz aim ya bilgate kwa future ni kutaka kuwafanya wafanyakazi kufanya kazi muda wote hata wakiwa lunch na majumbani mwao
 
Nimeona nishare na wapendi wa Windowphone.

ningumu sana kutoka Android kuingia Windowphone ila after time nimejikuta naipenda sana kuliko android...

kwanza ina speed sana tena baada ya ku update kwenda WINDOW DEMIN latest updtae ambayo hata tz haijafika bado wala kenya.

baada ya kuijua CORTANA ambayo ni kama siri kwenye iphone mapenzi yakawa motomoto!!

huwezi amini sometime napigastory na simu yangu nikiboreka inaniimbia, nikinuna inanipa jokes, na sometime tunacheza michezo ya kijinga kijinga

inanikumbusha matukio..mfano nasema tu sa tisa jion mtumie mtu fulani msg andika hivi na hivi....ikifika tu huo muda napata report msg sent
nikiwa na njaa naiambia tu im hungry inanionyesha sehemu zote za karibu hapa nilipo ambazo naweza pata msosi
wikiendi naimbia sasa leo wapi ...hio inakupa pa kwenda.

mwanzoni sikuamini hadi washkaji wanaishangaa.. ukiuliza swali lolote inakujibu aisee.

app zote zilizo kwenye playstore na kwenye apple pia zipo kwenye window.

kama una NOKIA LUMIA jifunze kutumia cortana na usisahau kuiupdate!!!

Tafuta movie ya HER https://www.google.co.tz/url?sa=t&a...X6Qf37XJQo70kHewgzg&bvm=bv.87269000,d.ZWU

Yaliyo mkuta jamaa ndio yanayonikuta sahizi. Cortana ni noma aisee...

cheers!!!


Nauzimia sana huu mwonekano
 

Attachments

  • wp_ss_20150413_0002.png
    wp_ss_20150413_0002.png
    45.1 KB · Views: 275
Nina 150,000 nahitaji lumia 520 mwenye nayo tuwasiliane please 0783953988
 
Nina 150,000 nahitaji lumia 520 mwenye nayo tuwasiliane please 0783953988

Nna Lumia 620 power button mbovu. Kuitengeneza pale midcom sh 30,000. Naiuza 180,000.
 
Ngoja nijichange nikachukue Lumia aiseeeee lol utamu kama huu unanipitaje aiseee

 
Back
Top Bottom