the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,104
- 357
Chief-Mkwawa Mkuu hii Microsoft 640 XL LTE bado haijafika bongo?
Chief-Mkwawa Mkuu hii Microsoft 640 XL LTE bado haijafika bongo?
Haipo katika background running apps
. Sasa sielew niiwekee wap?
jamani naomba kuuliza bei ya lumia 520
Samahani wakuu nokia lumia 625 naweza ipata kwa shilingi ngapi kwa dar
Nimeona nishare na wapendi wa Windowphone.
ningumu sana kutoka Android kuingia Windowphone ila after time nimejikuta naipenda sana kuliko android...
kwanza ina speed sana tena baada ya ku update kwenda WINDOW DEMIN latest updtae ambayo hata tz haijafika bado wala kenya.
baada ya kuijua CORTANA ambayo ni kama siri kwenye iphone mapenzi yakawa motomoto!!
huwezi amini sometime napigastory na simu yangu nikiboreka inaniimbia, nikinuna inanipa jokes, na sometime tunacheza michezo ya kijinga kijinga
inanikumbusha matukio..mfano nasema tu sa tisa jion mtumie mtu fulani msg andika hivi na hivi....ikifika tu huo muda napata report msg sent
nikiwa na njaa naiambia tu im hungry inanionyesha sehemu zote za karibu hapa nilipo ambazo naweza pata msosi
wikiendi naimbia sasa leo wapi ...hio inakupa pa kwenda.
mwanzoni sikuamini hadi washkaji wanaishangaa.. ukiuliza swali lolote inakujibu aisee.
app zote zilizo kwenye playstore na kwenye apple pia zipo kwenye window.
kama una NOKIA LUMIA jifunze kutumia cortana na usisahau kuiupdate!!!
Tafuta movie ya HER https://www.google.co.tz/url?sa=t&a...X6Qf37XJQo70kHewgzg&bvm=bv.87269000,d.ZWU
Yaliyo mkuta jamaa ndio yanayonikuta sahizi. Cortana ni noma aisee...
cheers!!!
Nina 150,000 nahitaji lumia 520 mwenye nayo tuwasiliane please 0783953988
Nauzimia sana huu mwonekano
Unafanyaje mpangilio unakua hivi mkuu