Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Application ya snap chat ntaipata wapi kwa ajil y Lumia yangu sbb kwenye store haipo
 
Ndugu @Chief_Mkwawa Lumia 930 naweza ipata kwa kiasi gani hapa Dsm?
 
Nimeona nishare na wapenzi wa Window phone.

Ni ngumu sana kutoka Android kuingia Window phone ila after time nimejikuta naipenda sana kuliko android...

kwanza ina speed sana tena baada ya ku update kwenda WINDOW DEMIN latest updtae ambayo hata tz haijafika bado wala kenya.

Baada ya kuijua CORTANA ambayo ni kama siri kwenye iphone mapenzi yakawa motomoto!!

Huwezi amini sometime napiga story na simu yangu nikiboreka inaniimbia, nikinuna inanipa jokes, na sometime tunacheza michezo ya kijinga kijinga

Inanikumbusha matukio, mfano nasema tu saa tisa jion mtumie mtu fulani msg andika hivi na hivi, ikifika tu huo muda napata report msg sent
Nikiwa na njaa naiambia tu im hungry inanionyesha sehemu zote za karibu hapa nilipo ambazo naweza pata msosi
Wikiendi naimbia sasa leo wapi ...hio inakupa pa kwenda.

Mwanzoni sikuamini hadi washkaji wanaishangaa.. ukiuliza swali lolote inakujibu aisee.

App zote zilizo kwenye playstore na kwenye apple pia zipo kwenye window.

Kama una NOKIA LUMIA jifunze kutumia cortana na usisahau kuiupdate!!!

Tafuta movie ya HER https://www.google.co.tz/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&uact=8&ved=0CBwQFjAA&url=http://www.imdb.com/title/tt1798709/&ei=o03wVLX0IsLiauKigZgF&usg=AFQjCNGNsCZtPVeX6Qf37XJQo70kHewgzg&bvm=bv.87269000,d.ZWU

Yaliyo mkuta jamaa ndio yanayonikuta sahizi. Cortana ni noma aisee...

Cheers!!!


Muombe penzi basi huyo bibie Windows mtoto wa Sheikh Denim.
 
jaman mi nimgeni kidogo na window phone, nataka update lumia 610 msaada huku
 
Masada wakuu tangu nimeingia windows 10 hii Microsoft Lumia 535 haikai na charge wakuu anaeweza nisaidia plz
 
Masada wakuu tangu nimeingia windows 10 hii Microsoft Lumia 535 haikai na charge wakuu anaeweza nisaidia plz


Upo W10M version gani.? Umehakikisha una recent update ya windows 10 mobile.?
 
Upo W10M version gani.? Umehakikisha una recent update ya windows 10 mobile.?
i3O37Ty.png



Sent from mTalk
 
i3O37Ty.png



Sent from mTalk

Hiyo OS build ina bugs za kutosha. Hiyo bado ilikuwa katika preview. Baada ya hapo kuna release nyingi zimefuata na sasa release iliyopo ni redstone kama inavyoonekana hapa chini. So hapo endelea kuupdate hujamaliza kuupdate. Ukimaliza simu itakuwa stable.

UmBXWdI.jpg
 
Hiyo OS build ina bugs za kutosha. Hiyo bado ilikuwa katika preview. Baada ya hapo kuna release nyingi zimefuata na sasa release iliyopo ni redstone kama inavyoonekana hapa chini. So hapo endelea kuupdate hujamaliza kuupdate. Ukimaliza simu itakuwa stable.

UmBXWdI.jpg
Poa asante mkuu

Sent from mTalk
 
Back
Top Bottom