Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

J92g74c.jpg
Mkuu mie niko hapa ila kunanotification imekuja kua ninatakiwa kuupdate pia je nitaweza ifanya hii kazi bila wifi manake wameniambia niwe na mb kama 600 hivi manake mwanzo nilitumia wifi niliyocreate via simu moja tu je itakubali kwa kutumia data zakawaida tu mkuu

Sent from mTalk
 
J92g74c.jpg
Mkuu mie niko hapa ila kunanotification imekuja kua ninatakiwa kuupdate pia je nitaweza ifanya hii kazi bila wifi manake wameniambia niwe na mb kama 600 hivi manake mwanzo nilitumia wifi niliyocreate via simu moja tu je itakubali kwa kutumia data zakawaida tu mkuu

Sent from mTalk

Hapo ni lazima uwe na WiFi tena iliyo stable.
 
Ina maana tena simu itachukua mda ule ule kama mwanzo kuupdate au huenda ikawa less than that

Sent from mTalk
 
aaah hakuna cm kama nokia lumia nazikubali na ndio rafiki yangu wa karibu ila mm natumia nokia lumia 525 ina window 8.1 kila nikiapdate ili ije window 10 inakataa je nifanyaje?
 
Manake the day nimeupdate nilitumia around 1hr kuupdate mpaka nikawa nahofia kua my be nimebug update ya mwanzo niliifanya kupitia lumia 535 kuja huku sasa je naweza unganisha kutoka wifi kwenye tecno kuja huku kwa microsoft 640

Sent from mTalk
 
aaah hakuna cm kama nokia lumia nazikubali na ndio rafiki yangu wa karibu ila mm natumia nokia lumia 525 ina window 8.1 kila nikiapdate ili ije window 10 inakataa je nifanyaje?
Download UPGRADE ADVISOR kwenye store yako
 
Manake the day nimeupdate nilitumia around 1hr kuupdate mpaka nikawa nahofia kua my be nimebug update ya mwanzo niliifanya kupitia lumia 535 kuja huku sasa je naweza unganisha kutoka wifi kwenye tecno kuja huku kwa microsoft 640

Sent from mTalk

Yah unaweza unganisha.
 
Sasa mkuu licha ya kua ninayo apps ya upgrade advisor ambayo ndio iliniongoza kuupgrade window10 sasa napotaka ifata ili inipe mwongozo kama mwanzo inaniambia hakuna update nyingine kwa sasa nifanye nini plz

Sent from mTalk
 
Sasa mkuu licha ya kua ninayo apps ya upgrade advisor ambayo ndio iliniongoza kuupgrade window10 sasa napotaka ifata ili inipe mwongozo kama mwanzo inaniambia hakuna update nyingine kwa sasa nifanye nini plz

Sent from mTalk

Kama inakwambia hivyo maana yake ni kuwa hakuna upgrade kwa sasa. Just subiri. BTW upo W10M version gani.?
 
Lakini kwangu hakuna bugz zozote kwani inapiga mzigo vizuri tu aisee

Sent from mTalk
 
Latest build ni 14393.67 mkuu kama upo windows 10 huna haja ya kutumia upgrade advisor nenda kwenye phone update na utahitaji wifi japo sio update zote zinahitaji wifi
 
Hiyo ndio latest version mkuu au kuna nyingine je hakuna tatizo kwa hili

Lumia 950 using mtalk
 
jaman hv hii app ya windows insider je nayo ina tumika kuapdate window?
 
jaman hv hii app ya windows insider je nayo ina tumika kuapdate window?


Yah, lakini kwa sasa haina maana kwa normal user maana normal user anahitaji updates ambazo zipo verified na microsoft. Normal user anahitaji update advisor.

Ila hii insider ni kwa users ambao wanataka kuwa part ya testing team ya Microsoft. Kwa maana utakuwa wa kwanza kupata updates kabla ya wote. Na hizo updates zinakuwa bado hazipo tested, so zinaweza kuwa na vimeo kama kuisha chaji haraka nk.
 
jamani simu yangu ya window sehemu ya kuchomekea charge imekufa kwa wenye uzoefu naweza kutumia sh ngapi ikapona
 
Lakini pia naomba kufahamishwa nini umuhimu au matumizi ya developer option kwenye update ya window 10

Lumia 950 using mtalk
 
Back
Top Bottom