Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

WanaeeleZea kila siku mambo ya Technology zinazotokea apa Tanzania na dunia nzima kwa ujumla
 
update sawa tunakubaliana sasa nina swali kwako

kwa android natumia
Mobro/sybla hapa napata cheneli za kutosha na huwa naangalia mpora kupitia simi. Vituo kama emanuel tv nazo nazipata bila chenga ni bando langu tu
Nikitaka muvi nafungua app inayo itwa SHOWBOX hapa ntaangalia mpaka nichoke mwenyewe
sasa nipatie maujanja kwa windows nikitaka kupata hayo mambo nafanyaje?
tukiacha zile links za muvi ambazo mkwawa huwa anatuwekea humu kama index of film n.k ambazo huwa zina uhai mdogo kabla hazija be broken..

tumia streamtube ni youtube live inaonesha mpira sema link zinakuwa nyingi na nyengine ni scam so itabidi ufungue link kadhaa kabla ya kupata ya ukweli.

ukisha idownload subiria wakati wa mechi halafu search timu moja inayocheza mfano chelsea, utaona zinakuja link kibao za hio mechi.

pia unaweza add manual link ukaangalia mpira.

movie zipo njia nyingi sana
1. torrent
2. direct link kama nilizotoa
3. youtube
4. website mbalimbali kama 300mbfilms.co
 
Wakuu naomba msaada wenu,simu yangu Nokia Lumia625 inanipasua kichwa,niliifanyia reset baada ya kuwaka screen/touch haifanyi kazi sawasawa,mf:nikifungua file la message inafungua kitu kingine,sometimes inajiwasha yenyewe nakufungua mafile na ku-accept vitu ambavyo sivitaki,kuna jamaa alinishauri niipeleke kwa fundi ila mafundi wengi wanakimbilia kuifungua ila me naamini ni masuala ya programming coz simu sikuwahi kuidondosha labda iwe kuigandamiza mfukoni,naomba nielekezwe chakufanya au zilipo office za Nokia kwa Dar nikawaone wataalamu wao.
 
Wakuu naomba msaada wenu,simu yangu Nokia Lumia625 inanipasua kichwa,niliifanyia reset baada ya kuwaka screen/touch haifanyi kazi sawasawa,mf:nikifungua file la message inafungua kitu kingine,sometimes inajiwasha yenyewe nakufungua mafile na ku-accept vitu ambavyo sivitaki,kuna jamaa alinishauri niipeleke kwa fundi ila mafundi wengi wanakimbilia kuifungua ila me naamini ni masuala ya programming coz simu sikuwahi kuidondosha labda iwe kuigandamiza mfukoni,naomba nielekezwe chakufanya au zilipo office za Nokia kwa Dar nikawaone wataalamu wao.
hujaeka protector? ikifanya hayo mambo simu inakuwa kwenye chaji?
 
Hapana sijaweka protector mkuu,muda wowote iwe kwenye charge isiwe kwenye charge inafanya mchezo huu,nakumbuka siku nilipoireset baada ya kuwaka ilinitaka ni install update nilipofanya hivyo ndo ikaanza matatizo.
 
hujaeka protector? ikifanya hayo mambo simu inakuwa kwenye chaji?
ber: 274275"]Hapana sijaweka protector mkuu,muda wowote iwe kwenye charge isiwe kwenye charge inafanya mchezo huu,nakumbuka siku nilipoireset baada ya kuwaka ilinitaka ni install update nilipofanya hivyo ndo ikaanza matatizo
 
Hapana sijaweka protector mkuu,muda wowote iwe kwenye charge isiwe kwenye charge inafanya mchezo huu,nakumbuka siku nilipoireset baada ya kuwaka ilinitaka ni install update nilipofanya hivyo ndo ikaanza matatizo
 
Hapana sijaweka protector mkuu,muda wowote iwe kwenye charge isiwe kwenye charge inafanya mchezo huu,nakumbuka siku nilipoireset baada ya kuwaka ilinitaka ni install update nilipofanya hivyo ndo ikaanza matatizo.
hizo lumia zinasimamiwa na midcom hapa Tz wapo mikocheni

Magore Street,
P.O. Box 76764, Dar Es Salaam
2122035
+255 (22) 2122048
 
Shukrani mkuu.
ber: 274275"]Hapana sijaweka protector mkuu,muda wowote iwe kwenye charge isiwe kwenye charge inafanya mchezo huu,nakumbuka siku nilipoireset baada ya kuwaka ilinitaka ni install update nilipofanya hivyo ndo ikaanza matatizo
Mkuu nina window phone ambae ni micrsoft 435 tatzo langu kwny store yake cpat blog za bongo nisaidie kuptia ismailifaraj5@gmail.com
 
Nimeona nishare na wapenzi wa Window phone.

Ni ngumu sana kutoka Android kuingia Window phone ila after time nimejikuta naipenda sana kuliko android...

kwanza ina speed sana tena baada ya ku update kwenda WINDOW DEMIN latest updtae ambayo hata tz haijafika bado wala kenya.

Baada ya kuijua CORTANA ambayo ni kama siri kwenye iphone mapenzi yakawa motomoto!!

Huwezi amini sometime napiga story na simu yangu nikiboreka inaniimbia, nikinuna inanipa jokes, na sometime tunacheza michezo ya kijinga kijinga

Inanikumbusha matukio, mfano nasema tu saa tisa jion mtumie mtu fulani msg andika hivi na hivi, ikifika tu huo muda napata report msg sent
Nikiwa na njaa naiambia tu im hungry inanionyesha sehemu zote za karibu hapa nilipo ambazo naweza pata msosi
Wikiendi naimbia sasa leo wapi ...hio inakupa pa kwenda.

Mwanzoni sikuamini hadi washkaji wanaishangaa.. ukiuliza swali lolote inakujibu aisee.

App zote zilizo kwenye playstore na kwenye apple pia zipo kwenye window.

Kama una NOKIA LUMIA jifunze kutumia cortana na usisahau kuiupdate!!!

Tafuta movie ya HER https://www.google.co.tz/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=1&cad=rja&uact=8&ved=0CBwQFjAA&url=http://www.imdb.com/title/tt1798709/&ei=o03wVLX0IsLiauKigZgF&usg=AFQjCNGNsCZtPVeX6Qf37XJQo70kHewgzg&bvm=bv.87269000,d.ZWU

Yaliyo mkuta jamaa ndio yanayonikuta sahizi. Cortana ni noma aisee...

Cheers!!!
Nina simu yang window phon 435 microsoft shida yang ni app nying za bongo hazpo kwny store yao kam blog naomba msaada kupitia email yang ismailmafaraj5@gmail.com /whatsap 0656694015
 
Chief mkwawa, Lumia yangu 820 nili restart ilivowaka haisomi quite hours. Inanipa niweke Cortana on lkn Cortana IPO on ILA bado haikubal
 
Hiv ndivyo imavosema,
 

Attachments

  • wp_ss_20160518_0002.png
    wp_ss_20160518_0002.png
    15.2 KB · Views: 55
Haya ndio maneno inaniandikia
 

Attachments

  • wp_ss_20160518_0003.png
    wp_ss_20160518_0003.png
    13.1 KB · Views: 44
Nilipoweka on ndo ikaanza kufanya kaz
 

Attachments

  • wp_ss_20160518_0006.png
    wp_ss_20160518_0006.png
    10.3 KB · Views: 51
Back
Top Bottom