Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Kwa mara ya pili naomben msaada au ushaur wana jamvii nna wind phon lumia 620 iko locked katka networ.. ya tanzania nkiweka lain mtandao ausomi inaomba code msaada wenu wana jamvi imei yake ni 356347058287041
Kwa wale wataalam wa wind kama chief mkwawa and sharobalo please msaada wenu na wote wana jamvi
pole mkuu!!! sijawahi kutana na case kama yako... upo dar au mkoa hio hadi iflashiwe na latest frimware... sababu hio os iliyomo iko binded na huyo operator waliye mlokia.
unaweza kui access ikiwa offline yaani iwe kwenye airplanemode halafu ukakonect wifi na kujaribu kuiupdate?! au huwezi kui access kabisa!!
 
Nimedownload hiyo update advisor,imenijibu phone is not supported for update window 10
oops!! ikishasema hivyo ndio basi tena haiwezi kuwa updated to window 10. ila usikate tamaa simu yako ni nzuri na unaweza endelea tumia window 8.1 ni nzuri pia...enjoy it
 
oops!! ikishasema hivyo ndio basi tena haiwezi kuwa updated to window 10. ila usikate tamaa simu yako ni nzuri na unaweza endelea tumia window 8.1 ni nzuri pia...enjoy it
So it means sio lumia zote zina support window 10 ama wamenza na simu chache kwanza?
 
N
Nimepaste link uliyoiweka,inayofanya kazi naipata wapi ama sijaelewa.

hizo link za zamani zilikufa kwa watu wote hazichezi itabidi upate link mpya zinazofanya kazi za star tv na azam tv. nitakuekea baadae au kama mtu anazo hapa atakuekea
 
hizo link za zamani zilikufa kwa watu wote hazichezi itabidi upate link mpya zinazofanya kazi za star tv na azam tv. nitakuekea baadae au kama mtu anazo hapa atakuekea
Shukrani sana Chief,I will appreciate ukiniwekea link mpya.
 
pole mkuu!!! sijawahi kutana na case kama yako... upo dar au mkoa hio hadi iflashiwe na latest frimware... sababu hio os iliyomo iko binded na huyo operator waliye mlokia.
unaweza kui access ikiwa offline yaani iwe kwenye airplanemode halafu ukakonect wifi na kujaribu kuiupdate?! au huwezi kui access kabisa!!
Npo kigoma.... yan iko iv nliipeleka kwa fund tukabadil ile socket ya katkat au (utumbo wa sm) baada ya apo nkaweka lain ikasoma ikaonesha imesoma lakin mtandao ndo anaomba acces ya nchi nliopo
 
Sisi ambao hata android tumebahatisha hapa nitasoma comment tu nikisubiri kuokota hela nikanunue lumia. Hapa na XYTEL h1 ambayo najua june wanaifunga lakini nimeweza kuweka 'microsoft word' na inarun vizuri
 
Msaada naomba site itakoyoniwesha kudownload window 10 bila shida.
 
nimeupdate tena.... kama unawindows 10 tayari kuna build mpya imetoka build .164
uki update window 10 unapata build .122 baada ya hapo checki for updates upate hio build .164 ni stable na imerekebisha bugs nyingi... imepiga polish safiii sana hebu chekin for update
 
nimeupdate tena.... kama unawindows 10 tayari kuna build mpya imetoka build .164
uki update window 10 unapata build .122 baada ya hapo checki for updates upate hio build .164 ni stable na imerekebisha bugs nyingi... imepiga polish safiii sana hebu chekin for update


update sawa tunakubaliana sasa nina swali kwako

kwa android natumia
Mobro/sybla hapa napata cheneli za kutosha na huwa naangalia mpora kupitia simi. Vituo kama emanuel tv nazo nazipata bila chenga ni bando langu tu
Nikitaka muvi nafungua app inayo itwa SHOWBOX hapa ntaangalia mpaka nichoke mwenyewe
sasa nipatie maujanja kwa windows nikitaka kupata hayo mambo nafanyaje?
tukiacha zile links za muvi ambazo mkwawa huwa anatuwekea humu kama index of film n.k ambazo huwa zina uhai mdogo kabla hazija be broken..
 
kwa watumiaji wa android ..apps zilizomo kwenye android kalibia zote zipo kwa ajiri ya windowsphone LAKINI hazina jina kama unaloliona kwenye hio google store, jiongeze kidogo fahamu wewe unataka app inayofanya kazi gani halafu search tu utaipata inaweza isifanane kila kitu ILA basic fuctions zikawa zilezile...
 
Jamani Kuna website nitaiweka apo chini inatoa elimu ya Technology
 
Back
Top Bottom