mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,171
- 1,757
Kama una muda cheki update nyingine. OS build inatakiwa kuwa namba 10.0.10586.63Iko hivi kaka
![]()
Kama una muda cheki update nyingine. OS build inatakiwa kuwa namba 10.0.10586.63Iko hivi kaka
![]()
Nimecheki imeniambia i have the current osKama una muda cheki update nyingine. OS build inatakiwa kuwa namba 10.0.10586.63
kuna slow ring na fast ring wanapokea updates tofauti. seems upo slow ring na updates ya build mpya wamepewa walio katika fast ring.Nimecheki imeniambia i have the current os
Mkuu Nime download lumia insider lakini mbona sioni sehemu ya kujisajili? Au ni window insider ipi nitafute?Download windows insider toka store halafu ifungue ujisajili ukimaliza ,nenda settings check for update utaipata download uende windows 10 ndugu
Mkuu Nime download lumia insider lakini mbona sioni sehemu ya kujisajili? Au ni window insider ipi nitafute?
Ndio nimejisajili kwa slow ring ili nipate updates zilizostable kiasi mkuukuna slow ring na fast ring wanapokea updates tofauti. seems upo slow ring na updates ya build mpya wamepewa walio katika fast ring.
ila ni vyema kubaki tu hio hio slow ring
Mkuu nimeenda lazima niweke region USA? Mana niliweka region tanzania alfu nimepata update ya 8.1 na sio window 10 kama nilivyotarajia![]()
Hiyo yenye alama kama ya funguo na kitasa mkuu
una updates nyingi zimejilimbikiza hadi umalize zoteMkuu nimeenda lazima niweke region USA? Mana niliweka region tanzania alfu nimepata update ya 8.1 na sio window 10 kama nilivyotarajia
Msaada tafadhali! Nimefanikiwa kuinstall window 10 na nikaitumia kwa masaa kadhaa lakini baada naikuta simu hairspray chochote zaid ya hivyo. Ikipigwa unapokea na msg zikiingia nazisikia ila siwezi kuzisoma japo kibox cha msg kanaonekana! Nifanyaje mkuu?una updates nyingi zimejilimbikiza hadi umalize zote
Jaribu kuzima na kuwasha, ikishindikana jaribu soft resetMsaada tafadhali! Nimefanikiwa kuinstall window 10 na nikaitumia kwa masaa kadhaa lakini baada naikuta simu hairspray chochote zaid ya hivyo. Ikipigwa unapokea na msg zikiingia nazisikia ila siwezi kuzisoma japo kibox cha msg kanaonekana! Nifanyaje mkuu?
Hivi ndivyo inavyoonesha
Kama hupendi sana kucheza na simu subiri official update. Hata hivyo siyo ngumu sana kwenda windows 10Wakuu nami natamani niikamate window 10 but naogopa complications za kuanza kuhangaika sana kama nita-fail,ninini ushauri wenu wadau niforce tu au nisubirie watakapoiachia official.mie sio mtaalam sana wa kucheza na simu ndo mana nahofia, mi_mdau ushauri plz.
Yaonekana ni tam sana, hiyo interface kuanzia mbele hadi kwenye setting inafanana na Windows 10 ya kwenye PC.
Subiri official update inatoka February mwaka huu, 2016Wakuu nami natamani niikamate window 10 but naogopa complications za kuanza kuhangaika sana kama nita-fail,ninini ushauri wenu wadau niforce tu au nisubirie watakapoiachia official.mie sio mtaalam sana wa kucheza na simu ndo mana nahofia, mi_mdau ushauri plz.
i thought inakuja na 410 ila leak zote za mwisho zinaonesha ni 210.Hizi windows haziwez tanua soko kwa biashara wanayo fanya....
Lumia 650 expected to b release this year but ukichek specifications zake ni 1gb ram, internal 8gb, snapdragon 410 ambazo ni ndogo saan kulingana na bei iliyowekwaa.... Wakitaka wakamate soko la simu kwa dunia ya sasa angalau ram iyanziee 2gb, internal 16, snapdragon/qualcom 600>
hio ipo windows phone toka inaanzishwa na ukitumia feature ya pin to start screen unatengeneza maelfu kama sio mamilioni ya app za michezoYaonekana ni tam sana, hiyo interface kuanzia mbele hadi kwenye setting inafanana na Windows 10 ya kwenye PC.
Windows 10 ni tamu.
Yaani kwenye sports huna haja ya kutafuta apps nyingine zaidi ya ile ya Microsoft. Ni balaa. Na mengine mengi.
hiyo app ni kama mobdro (kwa android)Yaonekana ni tam sana, hiyo interface kuanzia mbele hadi kwenye setting inafanana na Windows 10 ya kwenye PC.
Windows 10 ni tamu.
Yaani kwenye sports huna haja ya kutafuta apps nyingine zaidi ya ile ya Microsoft. Ni balaa. Na mengine mengi.