Naipenda simu yangu ya windows

Naipenda simu yangu ya windows

Hiyo niliifanya nilidownload hiyo insider nikajisajili ikanipa update nikasita kudownload nika uninstall window insider sasa update ikabak pale pale ,siko niko kwenye wifi ikaupdate kumaliza ikazima na kuinstall update ikawa haimalizi kuinstall ikawa inaishia kwenye logo tu,ikabidi nikawekewe windows software upya sasa naogopa kujaribu tena,niliyowekewa ni ya voda net ilikua slow akashindwa download firm ware yake akaniekea ya vodacom aliokua nayo hapa simu ikiwaka inaanza kwanza na logo ya voda inanikera balaaa,nitaibadilisha tu
Kwanza uwe unatumia Lumia device recovery tool, hiyo itainstall original os ya simu yako. Inadetect os ya kudownload automatically.

Lakini nikuulize kuwa unaposema haimalizi kuinstall update ya windows 10 kwa mara ya kwanza ulisubiri muda gani? Kwa sababu huwa inachukua muda mrefu karibia saa nzima kuinstall mara ya kwanza, inataka subira. Nahisi pengine hukuisubiri vya kutosha. Ulisubiri muda gani?
 
developer wanaruhusiwa kutest apps zao kwenye simu zao ambazo zinatokea kwenye computer. hivyo unaweza ukaunlock simu kama developer na kuruhusiwa kusideload apps 2 hadi 10 kutegemea na aina ya developer.

sema ni step ndefu kidogo kufanya hivyo.

Chief nimeweka kwenye lumia 820 data zote kama picturea videos ziende kwenye memory card na kila ninachodownload ajabu phone storage inajaa tu na nikicheka kwenye application ya file hakuna kilichohifadhiwa kwenye phone storage,nafanyaje kupunguza mkuu.?
61bc93baefdd09f892bbc7c3d75b267f.png
647e90cacf5923d8f2791d6326936358.png
 
Chief nimeweka kwenye lumia 820 data zote kama picturea videos ziende kwenye memory card na kila ninachodownload ajabu phone storage inajaa tu na nikicheka kwenye application ya file hakuna kilichohifadhiwa kwenye phone storage,nafanyaje kupunguza mkuu.?
61bc93baefdd09f892bbc7c3d75b267f.png
647e90cacf5923d8f2791d6326936358.png
nenda storage sense itakuonesha allocation ya vitu vyako vyote vya phone memory
 
Kwanza uwe unatumia Lumia device recovery tool, hiyo itainstall original os ya simu yako. Inadetect os ya kudownload automatically.

Lakini nikuulize kuwa unaposema haimalizi kuinstall update ya windows 10 kwa mara ya kwanza ulisubiri muda gani? Kwa sababu huwa inachukua muda mrefu karibia saa nzima kuinstall mara ya kwanza, inataka subira. Nahisi pengine hukuisubiri vya kutosha. Ulisubiri muda gani?
Kaka nilisubiri siku nzima kaka ,acha nijaribu tena kaka
 
Vipi simu inatakiwa iwe na free space kiasi gani maana yangu ina free kama 1.4gb only
I am not sure ila Kuwa safe At least iwe na 1gb free space (phone memory) kwa sababu zile update huwa zinafika hadi 700MB mara nyingine. Unaweza kujaribu tena, hizi build zimeimprove sana
 
nenda storage sense itakuonesha allocation ya vitu vyako vyote vya phone memory
mkuu habari.

kuna simu hapa nimechemka aise baada ya ku apdate kwenda window demin. ika kumbwa na tatizo camera inagoma kuwaka . simu ni nokia lumia 620
msaada mkuu shida itakuwa ni nini?
 
mkuu habari.

kuna simu hapa nimechemka aise baada ya ku apdate kwenda window demin. ika kumbwa na tatizo camera inagoma kuwaka . simu ni nokia lumia 620
msaada mkuu shida itakuwa ni nini?
umejaribu kudownload app nyengine ya camera tofauti na hio? cheki app nyengine store
 
umejaribu kudownload app nyengine ya camera tofauti na hio? cheki app nyengine store
nimesha jaribu mkuu Whenever I try to open I
just get a black screen (sometimes it says
loading…), and then it pops back to the
previous screen.
 
Now with windows 10 on lumia 820 looks nice
vizuri kusikia umefanikiwa. I hope uko na latest build 10586.63. Sasa nenda store ucheki application updates. ukiwa store click ile hamburger menu juu kushoto, then downloads and updates, halafu juu kulia 'check for updates'..
 
nimesha jaribu mkuu Whenever I try to open I
just get a black screen (sometimes it says
loading…), and then it pops back to the
previous screen.
jaribu kuipeleka 10 au subiria kidogo hadi official update ikitoka uone kama itafix. isipofix pengine inaweza kuwa hardware problem
 
Download windows insider toka store halafu ifungue ujisajili ukimaliza ,nenda settings check for update utaipata download uende windows 10 ndugu
 
Back
Top Bottom