Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 24,060
- 29,493
Heko mliofanikiwa kuiba kwa raha zenu lazima muipende.Msema kweli mpenzi wa mungu, naipenda CCM sababu imenifanyia mengi na imenipa mengi.
Wakati vijana wengine mnailalamikia CCM ila akina sisi tunamshukuru Mungu kuileta CCM chama chenye kutoa fursa kwa vijana kama sisi.
Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
Guu la mkulima na nyumba ya mfanyakazi.
umesahau kuweka namba yako ya simu. tukitaka kukutuma kakitu kidogo, tunakufikiaje?.Msema kweli mpenzi wa mungu, naipenda CCM sababu imenifanyia mengi na imenipa mengi.
Wakati vijana wengine mnailalamikia CCM ila akina sisi tunamshukuru Mungu kuileta CCM chama chenye kutoa fursa kwa vijana kama sisi.
Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
CCM ni chama cha matutusaNilikua nimezaliwa kaka,nipo napambana na shule ya msingi.Kwanini uliachana na chama chetu huo mwaka
Hii hii mkuu,Ccm hii hii ya mafisadi kina Kikwete, Kinana, nk, au kuna nyingine?
Tutake radhi mkuuCCM ni chama cha matutusa
Sawa mkuuumesahau kuweka namba yako ya simu. tukitaka kukutuma kakitu kidogo, tunakufikiaje?.
nipo makao makuu hapa lumumba.
Sijakuelewa mkuu
Msema kweli mpenzi wa mungu
Usiipende CCM eti kwa sababu unafaidika nayo wewe binafsi ilhali mamilioni ya watanzania wanateseka kwa mfumo mbaya wa CCM uliodimu kwa miaka mingi sasa.Sijakuelewa mkuu
Sijakuelewa mkuuKama hujalogwa basi itakuwa ulizaliwa na matatizo ya akili
Sijakuelewa mkuuKama ukiiba kura na kudhulumu haki za wananchi unapata baraka sawa, wabarikiwe
Mfumo upi mkuuUsiipende CCM eti kwa sababu unafaidika nayo wewe binafsi ilhali mamilioni ya watanzania wanateseka kwa mfumo mbaya wa CCM uliodimu kwa miaka mingi sasa.
Sijakuelewa mkuuAcha kumhusisha Mungu na CCM!
Sawa mkuuKaka unapotaka jina la Mungu andika kwa herufi kubwa au anza na herufi kubwa
SijakuelewaHeko mliofanikiwa kuiba kwa raha zenu lazima muipende.
Wewe kila mtu humuelewiSijakuelewa
Siwaelewi kabisa,maana mimi ccm damu mkuuWewe kila mtu humuelewi
.Kwanini mkuu