MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Siku ya arusi, wanandoa walijifungia ndani katika ghorofa ya juu na kuanza jigy jigy mfuflulizo kuanzia usiku mpaka asubuhi, wakaendelea mpaka jioni, usiku ukaingia wakaendelea mpaka asubuhi. Ndipo bwana arusi ulipokumbuka hawakuwa wamekula chochote kwa zaidi ya masaa 36. Akamtaka mke wake akatayarishe chai wanywe, waje waendelee.
Mke akashuka chini kuliko na jiko huku mume akimsubiri kwa hamu. Robo saa, nusu saa ikapita bibi harudi. Alipokwenda kuangalia kulikoni, akamuona anajiburuza kutoka juu ya ngazi hadi chini, akifika chini anarudi tena juu na kujiburuza tena hadi chini.
"Hiyo chai iko wapi? Na ndio unafanya nini hivyo? Mume akauliza.
"Ninaipasha moto mume wangu," mke akajibu.
Mke akashuka chini kuliko na jiko huku mume akimsubiri kwa hamu. Robo saa, nusu saa ikapita bibi harudi. Alipokwenda kuangalia kulikoni, akamuona anajiburuza kutoka juu ya ngazi hadi chini, akifika chini anarudi tena juu na kujiburuza tena hadi chini.
"Hiyo chai iko wapi? Na ndio unafanya nini hivyo? Mume akauliza.
"Ninaipasha moto mume wangu," mke akajibu.