Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Nimeshindwa kuvumilia hili ni janga la taifa wanawake wanaomba hela mnooooo mpaka inatia kinyaa kiukweli naanza kuwachukia mno wanawake hususan mabinti ambao Yani unamtongoza saa 12:00pm ukiambiwa ni saa 12:07 anakuwa hajala 12:15 anatakiwa asuke nywele saa 12:20 mtoto anatakiwa dawa nk .
Hii ni aibu wanawake acheni kutuomba hela mnarudisha nyuma maendeleo ya taifa imagine Kodi hazilipiki ada mashuleni hatulipi kisa nyinyi Yani mwanamke unamtongoza leo unashukuru kakubali unampa 20,000/= kesho Tena ukitaka kunyandua kwasababu kvant yake ni yamoto atataka umpe Tena hela jamani tutasomesha lini sisi wanaume?
Naiomba serikali iingilie Kati Jambo hili wanawake wanatuomba hela mnooo mpaka tunawachukia Sasa tukianza kuwapa majina mabaya msitulaumu.
Mkiti wa wanaume wanaochukia wasichana ombaomba kero Tanzania .
HAMZA PETER MCHUKIAKUHONGA.
Hii ni aibu wanawake acheni kutuomba hela mnarudisha nyuma maendeleo ya taifa imagine Kodi hazilipiki ada mashuleni hatulipi kisa nyinyi Yani mwanamke unamtongoza leo unashukuru kakubali unampa 20,000/= kesho Tena ukitaka kunyandua kwasababu kvant yake ni yamoto atataka umpe Tena hela jamani tutasomesha lini sisi wanaume?
Naiomba serikali iingilie Kati Jambo hili wanawake wanatuomba hela mnooo mpaka tunawachukia Sasa tukianza kuwapa majina mabaya msitulaumu.
Mkiti wa wanaume wanaochukia wasichana ombaomba kero Tanzania .
HAMZA PETER MCHUKIAKUHONGA.