ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,362
- 4,101
Ni kwamba miaka 11 iliyopita nilimtaliki mke wangu, kabla ya kukubali kuwa nimemtaliki, nilienda kumuomba turejeane. Sasa alikataa na kuniambia ananiona bado nina ujana na utoto mwingi hivyo ataniacha mpaka angalau nifike 40 ndio ataangalia kama anaweza kukubali.
Ni kwamba miaka hii 11 nina watoto wengine 3, na nina mtu naishi nae bila ndoa (sogea tukae).
Sasa hivi karibuni mawasiliano yamezidi baina yetu.
Na mwezi ujao ninatimiza miaka 40, naona kama aliloliongea linaelekea kutimia ila akili yangu haipo tayari kumrejea sababu ya comand zake na kususa na kununa.
Kwa sasa nipo na mtu akinuna ujue umemnunisha kweli sio tabia.
Ninaogopa miaka yangu 40 hii.
Ni kwamba miaka hii 11 nina watoto wengine 3, na nina mtu naishi nae bila ndoa (sogea tukae).
Sasa hivi karibuni mawasiliano yamezidi baina yetu.
Na mwezi ujao ninatimiza miaka 40, naona kama aliloliongea linaelekea kutimia ila akili yangu haipo tayari kumrejea sababu ya comand zake na kususa na kununa.
Kwa sasa nipo na mtu akinuna ujue umemnunisha kweli sio tabia.
Ninaogopa miaka yangu 40 hii.