Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,395
- 104,797
Usiwe na shaka mkuu, kama uliweza kumuacha na ukamtaliki 11 years back, basi kila kitu kitakua sawa na kikubwa unayo amani tele kwa huyo sogea tukae.
Ingekua mimi ndio wewe ningemkatia behewa mazima huyo mtalaka ili nisijichanganye tena, na kwamtazamo wangu huyo mwanamke ni jeuri sana kuwanae makini asije akakusumbua badae
Ingekua mimi ndio wewe ningemkatia behewa mazima huyo mtalaka ili nisijichanganye tena, na kwamtazamo wangu huyo mwanamke ni jeuri sana kuwanae makini asije akakusumbua badae