Naibu Waziri wa Afya: Watuhumiwa wa makosa ya unyanyasaji wa kijinsia wanyimwe dhamana

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,563
1626165114374.png

Naibu Waziri wa Afya, Mwanaidi Khamis ametaka watuhumiwa wa makosa ya unyanyasaji wa kijinsia wanyimwe dhamana ili kupunguza matukio hayo. Amesema hayo mkoani Kigoma baada kupewa ripoti kuwa wilayani Kigoma kati ya kesi 128 ni sita pekee ambazo wahusika wamehukumiwa vifungo.

Swahili Times
 
E6KdgCVXsAQp_N5.jpg


Mama sijamuelewa yaani.
Hawa ndo wameapa kulinda katiba na sheria za nchi. Hata yeye na elimu yake hajui dhana ya "MTUHUMIWA" katika sheria.

NI AIBU kwani dhamana ni hisani ya kiongozi au ni TAKWA la kisheria kwa mtuhumiwa? Tujitahidi kuongoza kwa kufata Katiba, sheria na kanuni tulizojiwekea na sio matamanio/wish za kiongozi. Hii nchi INA sheria zake, tuzifate.
 
Pia upelelezi wa makosa yao ufanyike haraka na itakapothibitika wana makosa kweli wachukuliwe hatua kali sana zitakazokomesha kabisa ile ari ya kunyanyasa kijinsia
 
Sheria kuhusu suala hili lipitiwe gupta, hatuzai watoto wakike ili wageuzwe punchbag ya wahuni... sheria zipitiwe upya na ile ya ndoa.. Wanaume tuwe na adabu kidogo na dada zetu....
 
Sheria kuhusu suala hili lipitiwe gupta, hatuzai watoto wakike ili wageuzwe punchbag ya wahuni... sheria zipitiwe upya na ile ya ndoa.. Wanaume tuwe na adabu kidogo na dada zetu....

😍💖💖💖💖👏

Kama una kijana wa kiume naomba nimpe binti yangu💥
 
Wewe ni liccm usitake haribu vijana wa watu.

Wewe wa ajabu sana. Mimi naongelea mambo ya kijamii wewe unaibuka na u-chama!?

Sasa ukimaliza kupandikiza chuki huku kwenye vyama si utahamia kwenye udini na ukabila wewe🙄🙄
 
Anaongea nini huyu muestrogen,yaani sisi tunyimwe dhamana kweli?, tukinyimwa dhamana ndio itasaidia kupunguza?,dunia hii imeshaharibikia hata ukilifunga jitu maisha utasikia lingine limebaka huko mtaani
 
Back
Top Bottom