gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
wakati anajibu hoja za wabunge amesema kwamba kuna baadhi ya wabunge walikamatwa na madini viwanja vya denge akawaombea waachiwe,yaleyale ya mzee wa kaya wana JF nyinyi mnalionaje hili
wakati anajibu hoja za wabunge amesema kwamba kuna baadhi ya wabunge walikamatwa na madini viwanja vya denge akawaombea waachiwe,yaleyale ya mzee wa kaya wana JF nyinyi mnalionaje hili
Hana lolote huyo. Anatafuta namna ya kupaka watu matope. hakawii kusema ni wabunge wa CHADEMA. Na kama ni kweli amewaombea wabunge walio kamatwa, anahitajika awajibike kwa kusaidia kutorosha nyara za serikali. Ukizingatia amepewa dhamana ya kulinda maliasili za waTanzania.
Hana lolote huyo. Anatafuta namna ya kupaka watu matope. hakawii kusema ni wabunge wa CHADEMA. Na kama ni kweli amewaombea wabunge walio kamatwa, anahitajika awajibike kwa kusaidia kutorosha nyara za serikali. Ukizingatia amepewa dhamana ya kulinda maliasili za waTanzania.
kwa hiyo akiri kufanya uhalifu na kushiriki
CCM imekuwa ni chombo cha wizi na ufisadi.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
KabisaaaaNikweli kabisa kama imefika mahali kila mtu anaida kivyake basi tumekwisha. Inaonyesha aliomba waachiwe kwasa7bu yeye alikua na mzigo mkubwa zaidi.
Wizara hii ni ya ajabu ahiishi vituko. Lakini. Kinachonidhangaza zaidi ni Bunge kukubali kauli hizi. Tunakumbuka mwaka jana kwenye kipindi cha bajeti wabunge walituumiwa kupokea rushwa kwa nguvu na Wizara hii hii mpaka Kamati husika ikavunjwa. Sasa huu wimbo wa wabunge kunjihusisha na wizi na wanaombewa msamaha!wakati anajibu hoja za wabunge amesema kwamba kuna baadhi ya wabunge walikamatwa na madini viwanja vya denge akawaombea waachiwe,yaleyale ya mzee wa kaya wana JF nyinyi mnalionaje hili
wakati anajibu hoja za wabunge amesema kwamba kuna baadhi ya wabunge walikamatwa na madini viwanja vya denge akawaombea waachiwe,yaleyale ya mzee wa kaya wana JF nyinyi mnalionaje hili
Hana lolote huyo. Anatafuta namna ya kupaka watu matope. hakawii kusema ni wabunge wa CHADEMA. Na kama ni kweli amewaombea wabunge walio kamatwa, anahitajika awajibike kwa kusaidia kutorosha nyara za serikali. Ukizingatia amepewa dhamana ya kulinda maliasili za waTanzania.