Swali zuri sana kama watjibu unitagMlishasema wakipata mimba wasiendelee na masomo. Hiko cheti atakitolea wap
Itakuwa Mkoa wa Songwe! Kulitokeaga Naibu Waziri wa elimu kipindi cha JK pande hizo. Naye alikuwa burudani kwelikweliHivi huyu naibu waziri katokea wapi ?
Philipo Mulugo .Itakuwa Mkoa wa Songwe! Kulitokeaga Naibu Waziri wa elimu kipindi cha JK pande hizo. Naye alikuwa burudani kwelikweli
AsanteMadam kunywa soda ntalipa
Wanashindwa kupambana na hali ya Wanafunzi wanao shindwa kuendelea na Masomo kwa kukosa nauli ya Daladala kuifikia Shule....!Ni wa kuwasamehe hawa jamaa
Yaani living certificate anadhani ni kama vitumbua kwamba kila mtanzania anayo
Hawa jamaa naona kama tumewaazima mahali au nchi fulani. Hawajui uhalisia wa maisha ya watanzania kabisa
Bwana harusi awe na mahari tu baaasi.Bwana harusi awe na nini?