Wamunzengo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 810
- 321
Haya mashangingi ya v8 wanayonunua kwa kudhurumu watanzania itakuwa
sara zimefika kwa Mungu :A S 101:
dah!! hapo kuna ukweli fulani mkuu, ila tusisahau jukumu letu kama binadamu la kuombeana KHERI tunapopatwa na misiba au majanga. Ila hawa jamaa kweli wamezidi mno kujipalilia wao tu huku sie wengi tukikosa hata za msingi kama DAWA, MAJI et,. but, pole mheshimiwa. get well soon.