Naibu Meya Arusha Ajiuzulu

Naibu Meya Arusha Ajiuzulu

Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Kutokana na mauaji yaliyotokea Arusha hivi karibuni Naibu Meya wa jiji la Arusha bwana Kivuyo amejiuzulu wadhifa huo. Source: radio one breaking news.

Mkuuu amejiuzulu kivipi asitudanganye kama sie ni mazuzu kwani twajua source ya yeye kusema amejiuzulu ni hii sasa siku CHADEMA wanaandamana na ndio siku hiyo kulikuja na barua kutoka office ya waziri mkuu na kusema uchaguzi huo urudiwe.

Hizi habari zilijulikana siku ile jioni baada ya vurugu kutokea. sasa Kivuyo anakuja sema amejiuzulu kwanini asinge jiuzulu the same day inamaana yeye hakujua kuwa kuwa uchaguzi ulikuwa ni batili khaaa

akawadanganye wajinga wengine watu tuna data

 
SamirNasri

You are sending in the same message over and over, unajaza page kwenye post hii unnecessarily.

Otherwise huyo naibu mayor tumpongeze tu maana ndilo tulilotaka from the word go. Watanzania tujifunze ku-appreciate.
Wengi wetu hatujui hila za CCM maana ingawa wana rangi mbili (kijani na njano) matendo yao yana rangi kibao kama za kinyonga. Ninaamini hata huyu Kivuyo alitumbukia kwenye mtego huo.
Kumbukeni kuwa CDM walimsupport na hawakuweka mgombea kwenye kata hiyo, yet akasahau hilo baada ya kuposwa na CCM.

Kama nuru ya allah imemshukia na ku-step down ni sawa kwamba kawaomba radhi wana Arusha na Watz kwa ujumla.

Mpokeeni kundini jamani!!!!!!!
 
huyu jamaa kapata shinikizo toka kanisani - Roman Catholic. Habari ndiyo hiyo
 
Jamani mungu ailaze roho ya kivuyo mahali pema peponi ameni
 
Naibu Meya wa jijin la Arusha amejuzulu wadhifa wake jana huku akikili kwamba anaungana na maoni ya wananchi walio wengi kuwa anatakiwa achaguliwe meya kwa mujibu wa matakwa ya walio wengi.
 
mkuu... kuna threads zaidi ya nne kuhusu hii habari ya meya kujiuzulu..... please try again later
 
je uchaguzi wa naibu meya utafanyika au......?
 
Safari ni ndefu lakini tutafika tu, hata Mzee MADIBA alikaa jela miaka 26 lakini leo hii ndiye hero of africa, MUNGU AMETULETEA SLAA NDIYE MANDELA WA TZ
 
Amechukua uamuzi wa busara sana maana maana damu ya watu wasio na hatia inamsuta. Najua yeye alirubuniwa na madiwani wa CCM lakini sasa amegundua kosa lake na kuamua kuachia ngazi. Bado namshangaa huyo meya jinsi alivyo na roho ngumu maana ata dhamira yake haimsuti. Najua yeye alirubuniwa na madiwani wa CCM lakini sasa amegundua kosa lake na kuamua kuachia ngazi. Sijui anjisikiaje kuona watu wameuawa kwa ajili yake lakini yeye bado anajichukulia kama kiongozi halali wa mji huo. Nashindwa kumtofautisha meya wa jiji la AArusha na LAURENT BAGBO wa Ivory Coast ambaye licha ya waut kuuawa kwa ajili yake yeye ameenddelea kung'ang'ania madarakani.
 
Back
Top Bottom