Kama mlikuwa mnafuatilia toka mwanzo, huyu Naibu Meya toka TLP alikuwa haeleweki toka mwanzo. Mara hakubaliani na kuchaguliwa kwa sababu hakushiriki uchaguzi, mara, anaendelea na nafasi yake! Inawezekana mwenyewe hakuwa na msimamo wowote, au alikuwa anayumbishwa na mwenyekiti wake LYATONGA!