Naibu Meya Arusha Ajiuzulu

Kama mlikuwa mnafuatilia toka mwanzo, huyu Naibu Meya toka TLP alikuwa haeleweki toka mwanzo. Mara hakubaliani na kuchaguliwa kwa sababu hakushiriki uchaguzi, mara, anaendelea na nafasi yake! Inawezekana mwenyewe hakuwa na msimamo wowote, au alikuwa anayumbishwa na mwenyekiti wake LYATONGA!
 
Alisema tangu mwanzo kwamba mchakato haukuwa halali.ukiwa na hofu ya Mungu ni lazima u step down

huyo ni kama mtoto wa kafara tu bado wale majitu waliosababisha tukianzia na IGP na wengineo wanaodhani katiba iko chini yao. Huwezi kuruhusu maandanao afu kesho yake usema nimeyafuta hayo ndo madhara ya kuchezea uhuru wa wananchi.waige mfano wa Rais Mstaafu Mzee Ruksa alipowajibika wkt wa mauaji ya shinyanga. Hao watu wa Usalama wa Taifa wanaosoma huu mtandao wafikishe hizi habari mara moja.
 
Jamani wana JF nilikua naangalia CH 0 ati Kikwete ametoa tamko juu ya Mashambulizi Arusha, Ghafla umeme umekatika. Naomba kwa alie karibu na ambae ameangalia CH 10 Habari anijuze kwa faida ya wote.
 
prevention is better than cure... kivuyo angejiuzulu kabla ya vifo ningempongeza.... for now, no way

aende zake
 
Sasa tunakusubiri mkwere kama mwenyekiti wa ccm na katibu wako makamba muitishe uchaguzi mwingine mchague naibu meya fanyeni haraka tunakusubiri makamba! ww si unajua sana sasa weka uchaguzi wa unaibu meya, watu wamekufa unasema jengo la ccm limeharibiwa hivi nyinyi huwa mnachaguliwa vipi? Mbona most of you guys hamnazo!
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Sasa hivi ndio namsikia kutoka RADIO ONE huyu Diwani wa TLP Michael Kivuyo, ameomba uongozi wa TLP nao wamemkubalia. Amesema hawezi kuongoza watu ambao hawana imani nao. Kama watu waliowachagua wanauwawa mbele yao, yeye anaona ni usaliti kuwa kiongozi wao. Na ameonelea bora apambane na serikali inayouwa akiwa kama mwananchi wa kawaida kuliko kuwa kiongozi mkubwa kama Naibu Meya.

Swali ambalo hakuulizwa na sikumsikia akilitolea maelezo ni kwanini amechelewa kujiuzulu.

Mundu, get off it!! At least amejiuzulu - the guy is trying to make a statement by giving up something - wengine wamekaa kimya. Badala ya kumchallenge kuwa amechelewa kujiuzulu, at least tumtambue kwa kuwa mtu wa kwanza kujitoa mhanga. Kujiuzulu kwake pamoja na kwamba kumechelewa kama wewe unavyosema, ni statement kwa wale viongozi wa juu especially wale ambao wametoa amri za kutumia risasi za moto kwa wananchi - there is no excuse for that. Mimi siyo supporter wa TLP lakini Naibu Meya apewe respect kidogo kwa hili.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Arusha kama UK! Watu wameshaelewa nini maana ya kuwajibika. Tukiendelea hivi kidogokidogo tutafika mbali. Ingawa amechelewa, damu imeshamwagika lakini angalau amechukua hatua nzuri. Si kama hao wanaowapa watoto wao mic kutoa matamko
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
tell us then why did you accept the position! At least you can see the situation and manouvre but I'm not convinced yet!

It was illegal election but you accepted it, a corward leader face the wrath then! I don't like hypocrites. That blood, that soul, that lost Tanzanian! :cry:
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Nampongeza kwa uamuzi wa busara aliouchukua najua yeye alirubuniwa na CCM na sasa ametambua kwamba alikosea kukubaliana na hila za CCM. Nashangaa kuona huyo meya mwenyewe yuko "confortable" ameridhika na hali ilivyo arusha pamoja na watu kupoteza maisha kutokana na uchaguzi batili uliomuweka madarakani yeye bado anajiona kiongozi halali. Jamaa kweli ana roho ngumu maana dhamira yake hata haimsuti kwa uroho wa madaraka.
 
Amechelewa sana, kwanza yeye ndio chanzo cha vurugu kwa kuamua kushirikiana na CCM
 
Back
Top Bottom