GoodBreaking News Radio One sasa hivi saa saba na dakika 41.
GoodBreaking News Radio One sasa hivi saa saba na dakika 41.
Kutokana na mauaji yaliyotokea Arusha hivi karibuni Naibu Meya wa jiji la Arusha bwana Kivuyo amejiuzulu wadhifa huo. Source: radio one breaking news.
wameanza hao mwingie atafuata sasa hv walikua wanategeana nani aanze!kwasababu rafu inaonekana wazi kabisa ilichezwa iweje diwani wa Tanga aje apige kura Arusha na bado viongozi wanabariki uchaguzi hata hivyo pamoja na kujihudhuru damu za waliokufa zitalipwa vipi bado dhambi ipo palepale ndio maana huwa tunasema kwamba unapotaka kua kiongozi bora nafsi yako itoke ndani mwako na sio kwa shinikizo la nje kivuyo inaelekea kawaza sana baada ya tukio la juzi akaona kikombe hiki kitamsuta siku moja kwa mwenyezi mungu ila hongera kwa kujihudhuru maana ni wachache sana wenye moyo kama huo na kwa tz inawezekana 0.1%Kutokana na mauaji yaliyotokea Arusha hivi karibuni Naibu Meya wa jiji la Arusha bwana Kivuyo amejiuzulu wadhifa huo. Source: radio one breaking news.
Kutokana na mauaji yaliyotokea Arusha hivi karibuni Naibu Meya wa jiji la Arusha bwana Kivuyo amejiuzulu wadhifa huo. Source: radio one breaking news.