Edmund unadai umeachana na mambo ya wanawake 10 years past..:confused2:
Kwa hiyo huwa .mlingoti hau-stand? ama ni hamu tu haikuji?
1. Kula vyakula vya kuongeza hamu wanadai ufuta,karanga,pweza, ngisi,watu wa Pwani wanaweza kukusaidia ..
Vidonge nadhani vina madhara makubwa baadae..
Duh kweli kuwa uyaone!sasa miaka 10,huna hamu ya kuwa na mwanamke,unapata hamu ya kuoa kutoka wapi kaka?umelazimishwa kuoa?Ebu tueleze hasa tatizo lako tujue tiba mbadala au kajogoo bamia nn?
what is the diff btwn haustand na hamu haikuji my dia FL1
hapo thatha, itakuwa kalazimishwa tu huyu lol! kwanza una miaka mingapi Edmund?:A S 39:
mshauri mwenzi ili naye apate starehe ya paradiso ya duniani jamani
sababu ipi inayokufanya sasa utake kuoa?
Be serious Edmund familia ipi utayojenga wakati hamu ya tendo huna?haya ni maisha usipende kuiga labda kwakuwa wengine wanoa na ww ufanye hiyo,si lazima watu wote waoe/waolewe na si kosa kutofanya hivyo,I guess unatatizo kubwa zaidi ya hilo,nenda kacheki na wataaalamu wa ubongo.:thumb:
Hivi aliyekuambia kuna vidonge vya nyege ni nani??
Du hii kali. Halafu unataka kuoa? Huduma utaitoaje kama huna matamanio na hakidumu au? Yaani hebu eleza vizuri, ni kuwa hutamani kabisa? Ni kuwa husimamishi? Kwa sababau ni lazima utamani na kuwa na hisia ndipo chama kinadumu. Kwa mantiki hii na kwa maelezo yako inaelekea chama haikudumu tena?? Au kuna mwanamke ulimtapeili huko nyuma akaamua kuondoka na mali yake? Hayo mambo yapo aise. jitafakari kwanza!!
Edmund unadai umeachana na mambo ya wanawake 10 years past..:confused2:
Kwa hiyo huwa .mlingoti hau-stand? ama ni hamu tu haikuji?
1. Kula vyakula vya kuongeza hamu wanadai ufuta,karanga,pweza, ngisi,watu wa Pwani wanaweza kukusaidia ..
Vidonge nadhani vina madhara makubwa baadae..
mkuu ni daktari au ndio katika kuangaika kutafuta maisha mazuri ya unyumba ndio umekutana na hiyo booster ya mbegu?Sidhani kama kuna vidonge vya kuongeza nyege. Ila zipo dawa za kuongeza nguvu za kiume. Nyege ni kitu kinachotoka kwenye ubongo. Kama mawazo yako na akili yako hayajaji tune kinyegenyege itakuwia vigumu sana.
Ila jaribu kutafuta vidonge vya testosterone booster....vyaweza kukusaidia.
Sidhani kama kuna vidonge vya kuongeza nyege. Ila zipo dawa za kuongeza nguvu za kiume. Nyege ni kitu kinachotoka kwenye ubongo. Kama mawazo yako na akili yako hayajaji tune kinyegenyege itakuwia vigumu sana.
Ila jaribu kutafuta vidonge vya testosterone booster....vyaweza kukusaidia.
mkuu ni daktari au ndio katika kuangaika kutafuta maisha mazuri ya unyumba ndio umekutana na hiyo booster ya mbegu?