Nahitaji uvumilivu

Nahitaji uvumilivu

Nina changamoto mke wangu kaenda mkoa mwingine kaajiriwa nimebaki na beki tatu kuna muda upwiru unakaba sana halafu nikimwangalia huyu beki tatu ana jicho moja hivi dah Mungu anisaidie kwa kweli nisije vunja nae ile amri.Nauliza kuna mbinu yoyote ya kuondokana na upwiru ukiachana na ile ya kujichukulia sheria mkononi nikishindwa itabid nitafute wale wa kwenye magroup ya whatsapp
Fact ni kwamba we only live once in dis reality so ya nin kujikaba na upwiru. Piga bk3 iyoo alaaaah. Au unataka mpaka ujibake utolewe magazetini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom