Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

View attachment 668977 wadau wengi nimeona unaulizia upatikanaji wa mbegu jamani mbegu zipo madukani tembelea duka lolote la pembe jeo na mifugo ulizia mbegu ya papai hybrids , utapewa kazi ni kwako kuchagua unataka mapapai yepi yenye rangi nyekundu, karogi nk ni wewe tu

Mbegu hii huitaji kuiotesha wewe ni kuandaa mashimo vizuri kisha kuipanda nakuanza kuitunza tu

Hiyo mipapai katika picha ina miezi sita tu

Soko la papai lipo na kubwa tu sema watu hawastukia , unaweza tengeneza soko lako mwenyewe kwa kuwauzia mama lishe wa mitaani, pia katika hotel, pia katika hospital za mikoa, wilaya nk , haitaji utoe zao lako mkoani kupeleka dar hapo hapo ulipo unaweza fanya biashara

Wazo hili nilitoa hapa hapa JF nikalifanyia kazi na limezaa matunda, napokea sm kila siku watu wakitaji mapapai sababu ishajulikana namiliki mipapai kila mwezi na uhakika wa kutengeneza laki tano

Bei ya mbegu za hiyo mipapai inanzia elfu therathini na tano, inategemea na eneo ulilipo
je mpapai mmoja hutumia muda gn mpaka kuzaa na hubeba watoto wangp?

na huzaa mara ngp mpaka kufa kwake????
 
Mkuu kama uko karibu na Morogoro nenda pale SUA utapapenda kwa mbegu za mipapai hiyo mirefurefu tena inaanza kuzalia chini hata mtoto wako wa miaka miwili anaweza kuchuma tunda!! Kama unataka ekari 1 ikupatie miche kama 1200 fanya spacing iwe 2 m x 2 m (yaani msitari hadi msitari iwe mita 2 na shimo hadi shimo iwe mita 2) kwa nafasi hiyo utapata kama miche 1225 hivi.
 
Job K ahsante kwa mchango wako, ila kuhusu kufka SUA napata changamoto kidogo kwani npo Tanga. Vinginevyo niseme tena ahsante.
 
mkuu Utandu kumbe wewe ndio mmiliki wa mipapai hii, maana naona umeielezea mpaka umri wake kuwa inamiezi sita . Je unalimia wapi?

Katika kuperuzi katka mtandao hiyo mipapai nimeikuta sehemu flan nikai screen shot
 
hongera sana kiongozi
View attachment 668977 wadau wengi nimeona unaulizia upatikanaji wa mbegu jamani mbegu zipo madukani tembelea duka lolote la pembe jeo na mifugo ulizia mbegu ya papai hybrids , utapewa kazi ni kwako kuchagua unataka mapapai yepi yenye rangi nyekundu, karogi nk ni wewe tu

Mbegu hii huitaji kuiotesha wewe ni kuandaa mashimo vizuri kisha kuipanda nakuanza kuitunza tu

Hiyo mipapai katika picha ina miezi sita tu

Soko la papai lipo na kubwa tu sema watu hawastukia , unaweza tengeneza soko lako mwenyewe kwa kuwauzia mama lishe wa mitaani, pia katika hotel, pia katika hospital za mikoa, wilaya nk , haitaji utoe zao lako mkoani kupeleka dar hapo hapo ulipo unaweza fanya biashara

Wazo hili nilitoa hapa hapa JF nikalifanyia kazi na limezaa matunda, napokea sm kila siku watu wakitaji mapapai sababu ishajulikana namiliki mipapai kila mwezi na uhakika wa kutengeneza laki tano

Bei ya mbegu za hiyo mipapai inanzia elfu therathini na tano, inategemea na eneo ulilipo
 
Job K ahsante kwa mchango wako, ila kuhusu kufka SUA napata changamoto kidogo kwani npo Tanga. Vinginevyo niseme tena ahsante.
Aaaah,, mkuu Morogoro na Tanga mbona pua na mdomo? Panda Tashriff asubuhi saa 12 mchana unarudi na Simba mtoto au Rahaleo ukiwa na mzigo wako wa mipapai!!
 
Wakuu heri ya mapinduzi

Naomba wenye uelewa kuhusu kilimo cha mapapai,gharama yake, soko lake na muda wa kuvuna matunda tangu miche ipandwe anijuze.
Nipo Mwanza ,nataka kuanza kujikita na kilimo cha matunda ila nataka nijue kuhusu mapapai

Namuunga mkono Sizonje

Asanteni
 
Hivi papai inaitaji tu kulimwa sehemu za irrigation au Zena ota tu hata kwa kutegemea mvua za asili kwa maeneo yanayopata mvua mara mbili kwa mwaka??
 
fbbca14d5623c96ce8c13b0d86a3d487.jpg


Kuna hili papai analima mrisho mpoto liangalie pichan nimeipenda hii mbegu balaa hahah inazaa ndani ya 5-6month

Naombeni anaye ijua aniandike jina Lake pls
 
Nauza niche ya hybrid Papai being 3000
Namba ya simu 0655404226
Mahali .kiluvya gogoni DSM na kuna shamba hapo hapo lina mipapai kadhaa
 

Attachments

  • IMG_3204909652422.jpeg
    IMG_3204909652422.jpeg
    62.3 KB · Views: 136

Similar Discussions

Back
Top Bottom