Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

Kimbia kijana,jambo kama lako nimeshalishuhudia kwenye familia fulan yule mzee alikua anatembea na mabint zake na walipohitaji kuolewa ilibid mwanaume ndo aende kuishi kwa mwanamke,
hii inahusishwa sana na imani za kishirikina na mwanaume baada ya kufika nyumban kwa mzee na yeye anaingizwa kundini...take care
 
Jamaa inaelekea mbabe maana kuna sehemu amesema anashindwa hata kumkata makofi mkewe pindi anapomuudhi, kwa condition alizopewa tu kama mtu mzima litakiwa ashituke maana ukishaoa huyo mke anakuwa sehemu ya maisha yako na of course ana change status kwa kuhamia kwenye ukoo wengu na hata chochote kikitokea yeye ndio msemaji pamoja na mke wake.

Itabidi akae chini tu na mkewe maana raha ya mme na mke ni kuwa huru na mambo yao

uhuru wa wawili unahitajika sana.....kuna mda mnakuwa mnahitaji privacy yenu

sasa kina shemeji mama mkwe baba mkwe aisee
 
Kaka hivi ni Kweli ulioa mwenyewe au uliozeshwa na kama ulioa mwenyewe kwa nini unakosa kujiamini katika maa muzi ? Amka jomba usikubali kuendelea kukaa kwa wakwe zako maana maendeleo hutoyapata kirahisi kabisa kwa sababu hauna uhuru WA kupanga mambo yako mwenyewe
 
i cant belive my eyes kwa nilichokisoma ,cary your burden and go man mwambie mkeo kama anakutaka akufuate na baada ya 3month utaoa kama hataleta pua yake,au mtie huyo mwanamke kwa ubwete akilia kwa uchungu utamu baba yake akitoka kuangalia maana bado ni mdogo au kaka zake wachanganyie na wao kwenye game bullshit utakubalije kuolewa mtoto wa kiume wewe proove beyond reasonable doughts that are a gentleman kha

ha ha ha ha! yaani kama ni mimi ningemtia mpaka mtaa mzima wasikie wote,,,,,,,,,

kosa la kwanza alilofanya ni kukubali kwenda kuishi kwa mwanamke( ukweni) baada ya kuoa,,,,,,,,
 
ukichunguza vizuri unaweza kukuta huyo binti anagegedwa na huyo baba yake anayesema binti yake hajakua,,,,,,,,
 
Dah! we kavu kweli,utakubali vipi kuishi ukweni? Toka haraka sana hapo kabla sijakuzaba makofi.
Nalog off
 
Dada, weacha tu kama kuongea (kuomba kuhama) nisha ongea sana, ila jibu ninalopata ni moja tu, kama nimemchoka mtoto wao basi niendezangu niwaachie binti yao, kitu ambacho nikigumu kwangu kwani bado nampenda sana mkewangu nazaidi nahitaji mtoto wangu apitie kwenye malezi ya wazazi wake wawili (mimi na mkewangu)

Khaa si usepe?wallah mie kaka angu aoe wampe masharti ya kipumbav lazima nikwende andamana na hao wakwe

watanieleza kwamba what is so special kwa binti yao ambacho sie wanawake wengine hatuna au sie wazazi wetu hawana uchungu kutuacha kwenda kwa waume zetu

na kumrudisha bro nyumban huku ni kudhalilishana yan under same roof hell NO!!
leo hutaki kula ugal na ndo ratiba ya kwa wakwe kero ya nn
wataka pata massage on sofa umetoka kazin,wataka watch movie huku wapata cudling hakuna loh umeoa wa nn?

abaki huko kwao aolewe na baba yake kama sio kaka zake

Maana huu ni upuuz tena mkubwa sanaa mwisho wa siku utapangiwa siku za kufanyana na mkeo Lol
 
Heeee........wanaume wa hv bado wapo
Hata mie nimeshangaa nilichokisoma, sikuamini! Utaoaje na kuishi ukweni na mkeo? Tena nasema kajenga. Namshauri asepe upesi, aache kulalamika
 
TOBAAAAAAAAAAAAAAAAA, sio kila mwanaume ni kiume aisee. ulianzaje kwenda kuishi ukweni? Kuna kabila zingine ni majanga. Kikwetu wewe ungepigwa na ukoo mzima mpaka akili izinduke.

Baba mkwe anafanya shoping mpaka ya mkeo kunani hapo between. Kama umekumbuka leo kushuhudia haya baada ya miaka minne jitahidi ondoka leo leo hapo kabla hawajakufunga tena. Nahisi umerogwa wewe si bure.

Sina mengi ila roho inaniuma sana, mimi mwenyewe kama mwanamke mume wangu hawezi kwenda kusalimia kwetu akalala zaidi ya siku mbili ni marufuku.
 
Khaa si usepe?wallah mie kaka angu aoe wampe masharti ya kipumbav lazima nikwende andamana na hao wakwe

watanieleza kwamba what is so special kwa binti yao ambacho sie wanawake wengine hatuna au sie wazazi wetu hawana uchungu kutuacha kwenda kwa waume zetu

na kumrudisha bro nyumban huku ni kudhalilishana yan under same roof hell NO!!
leo hutaki kula ugal na ndo ratiba ya kwa wakwe kero ya nn
wataka pata massage on sofa umetoka kazin,wataka watch movie huku wapata cudling hakuna loh umeoa wa nn?

abaki huko kwao aolewe na baba yake kama sio kaka zake

Maana huu ni upuuz tena mkubwa sanaa mwisho wa siku utapangiwa siku za kufanyana na mkeo Lol

Hata mke wake pia ndo wale wale. Utaolewaje afu uendelee kuishi kwenu? Nahisi wanabakana hawapati raha yoyote.
 
Mhhh hapa pagumu sana duh HorsePower hebu kuja kipande hii na babu Asprin na Dark City hii ya mwanaume ukaa ukweli ni balaa
Yaani fanya maamuzi ya kiume acha kulalamika maana hapo onyesha kuwa wewe ni mwanaume na ondoka funga mizigo yako na funga na ya mkeo waambie kaka na dada zake na mkeo na hao wakwe zako kuwa unaenda kwenu na hakuna maswali wala nini
dah ya nini kuteseka aise na kuogopa kujiachia kwako na mkeo na mwanao bana huna uhuru wa kurudi kazini umkiss mkeo au kumkumbatia maana wakwe na ndugu zake wanatoa macho kama mijusi imebanwa na mlango, huwezi mkeo kukupikia kamchuzi ka kuku na katoe harufu huku wakwe wanapika maharage
Huwezi kutoka na kipensi ukajiachia barazani kwa sababu mkwe kakaa hapo hapo na mkewe
Wacha mambo zako bana hebu chapa mwendo haraka sana

Nashindwa kucömment chochote kwakuwa naamini hii siyo habari ya kweli.

Baaaas.
 
Last edited by a moderator:
ukichunguza vizuri unaweza kukuta huyo binti anagegedwa na huyo baba yake anayesema binti yake hajakua,,,,,,,,
na mimi niliwaza hivyo hivyo na ni kwa asilimia 99% hii ni kweli tumeshaona haya baba atakuwa anafaidi na mkwewe
 
Kimbia kijana,jambo kama lako nimeshalishuhudia kwenye familia fulan yule mzee alikua anatembea na mabint zake na walipohitaji kuolewa ilibid mwanaume ndo aende kuishi kwa mwanamke,
hii inahusishwa sana na imani za kishirikina na mwanaume baada ya kufika nyumban kwa mzee na yeye anaingizwa kundini...take care
Ngoja niyafanyie kazi maneno yako bro, kwani wewe nimtu kama wapili unanifunua akili yangu kuhusu hilo (baba mkwe kuteambea na wanae wa kike)
 
husiwe na akili za mgando my bro,wanasema ukiwa chini ya..kubali kutawaliwa.bro umechemka tangu awali na kama binti alikuwa mdogo basi hasingeolewa na kuja kukumiliki wewe,pili huyo bint hakufanyiwa send off?kama ndivyo alisendiwa kinamna gani?kwakweli si afya saaaana kukaa kwa ndugu wa mwanamke ndo maana wakosa kufanya maamuzi yako binafsi hata upeo wa kufikiri unakuwa finyu.so unasubiri mpaka na wewe upate mjukuu ukiwa hapo?vya bure ndo vilivyo,na kama huyo bint hamkuwa mmefunga ndoa kabisa hivi ulianzajeazaje kuvuta mabegi yako mpaka ukajichomeka kwenye chumba kimoja?nina wasiwasi wewe nyumba hauna ila ulikuwa unatafuata URAHISI WA MAISHA KWA WAZAZI WA HYO BINT sasa umepata ndo waona kero hizo.ok kila mtu atamuacha nduguye/wazaziwe na kuambana na mwenzake ila wewe umeacha wazazi wako na kuambatana na mkeo na wazazi wa mkeo so...?bro beba mkeo nenda K-W-E-N-U hapo sio kwenu bali kwao lazima utii mamlaka ya wao.
 
na mimi niliwaza hivyo hivyo na ni kwa asilimia 99% hii ni kweli tumeshaona haya baba atakuwa anafaidi na mkwewe


ugopa kukuta baba anapiga vijana risasi za miguu kisa binti yake ,,,,,,,, huo wivu gani kwa mtoto wako?

kuna wengi tu ilikuja kujulikana watoto wao ni chakula yake kama alivyo mkewe.
 
Back
Top Bottom