hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
hahaa wi ni bora asepe tu huyu.........kila kitu kiko wazi
unajuaje labda halipi kodi ndo maana ameamua kutulia.
Si ajabu anapenda kula vinono ukweni.
Ukweni kuna raha zake bhana ila hapafai kulowea.
Inavyoonekana jamaa amenunua uraia kabisa
Tehe tehe tehe..........