Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

Majirani huzima redio
Ninapata tabu moyoni mwangu mimi kwa kweli
Nimekupenda wewe lakini hunijali mama
Tumekuwa sisi wawili kama sinema
Hapa nyumbani kwetu kila siku kelele
Lakini kwa vile tunaishi hapa kwa wazazi wako
Mwenye sauti ni wewe naogopa fedheha mama
Naona aibu kweli mpenzi hapa ni kwa wakwe zangu sisemi lolote
Fanya upendalo
Kibwagizo
Hata mwezi bado tangu tuoane
Kelele kila siku ndani ya nyumba yetu mama
Ninaporudi kazini majirani huzima redio
Ili wasikize tunavyozozana
Wametupa chika majina wewe pwagu na mimi pwaguzi
Kwa vile imekuwa ni mazoea
Ingawa nimekuoa kwa pesa na pendo langu
Tabia zako zimenishinda nasikitika
Hajulikani nani mume ndani ya nyumba
Hajulikani nani mke ndani ya nyumba
Nb:kibao cha DDC hicho mwishoni mwa miaka ya sabini ujumbe unaweza kufika.
 
Hivi wanawake wanapinga kukaa ukweni afu we mwqnaume ukakubali ungekuwa mme wangu ningekumind Ile sku na hata ningeona wanakusumbua ningeongezea. Acha kuogopa maisha wewe.
 
Moja ya mitihani ninayo kumbana nayo kwenye ndoa yangu ni mazingira ninayo ishi.

Nimevumilia sana lakini sinabudi kusema basi, liwalo naliwe lakini siwezi kukubali kuendelea kuishi ktk nyumba ambayo ni mali ya familia ya mke wangu (Ukweni).

Siokwamba nyumba ni mbovu au maeneo ni yakishamba hapana, tatizo nashindwa kujitawala ndani ya ndoa yangu.

Nashindwa kufanya maamuzi ya kiume ndani ya ndoa yangu sina kauli kabisa kisa naishi kwenye nyumba yao, nyumba ambayo imejazana kaka na dada wa mke wangu.

Siwezi hata kumkata makofi mke wangu pindi aniudhipo kiufupi nipo ndani ya ndoa isiyo na furaha kwa upande wangu . Hiiyote ilitokana na mimi kukubali kumuoa binti yao.

Hii familia ni ya kibabe sana Huwezi amini.

Nilipo jitokeza na kutangaza nia yangu ya kumposa binti yao sharti kubwa nililopewa nikua binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwa hoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uangalizi kutoka kwao.

Hivyo ikaamuliwa kama nahitaji kumuoa binti yao basi nikubari tuishi wote hapo kwao hivyo nikakabidhiwa chumba ambacho naona kama ndio kinacho nitesa kwasasa.

Nimevumilia dharau kutoka kwa kaka na dada zake kwa muda wa miaka minne sasa ila imefikia hatua nasema nimechoka bora kama mke nikose kuliko kuendelea kuonekana ----.

Kama kuzaa tumesha zaa na tayari mtoto keshakua. Kama nyumba ninayo tena siyo ya urithi kama mtoto wao walisema bado hajakua sasa tayari ameshakua ushahidi ni huyu mtoto tulie nae.

Hapana bora nikose mke kuliko kuendelea kuonekana ----. Inafikia hatua mpaka mke wangu ambaye ndiye mtoto wao ananionea huruma jinsi ninavyo buruzwa na familia yake?

Hapa bora niende zangu nyumbani wazazi wangu wanashindwa kujitawala pindi wakija kunitembelea wanakosa uhuru Kabisa wa kupanga mambo mbalimbali na mimi mtoto wao kisa niko ukweni?

Uko wapi utamu wa ndoa ikiwa kila kitu anapanga baba mkwe? Chakula anunue mpaka nguo za mke wangu pia?
Pole xn bro
Cha msingi ww amsha popo rud geto kwako na kama mke wako anakupenda atakuja la sivyo utawekwa ndondocha bro
 
Moja ya mitihani ninayo kumbana nayo kwenye ndoa yangu ni mazingira ninayo ishi.

Nimevumilia sana lakini sinabudi kusema basi, liwalo naliwe lakini siwezi kukubali kuendelea kuishi ktk nyumba ambayo ni mali ya familia ya mke wangu (Ukweni).

Siokwamba nyumba ni mbovu au maeneo ni yakishamba hapana, tatizo nashindwa kujitawala ndani ya ndoa yangu.

Nashindwa kufanya maamuzi ya kiume ndani ya ndoa yangu sina kauli kabisa kisa naishi kwenye nyumba yao, nyumba ambayo imejazana kaka na dada wa mke wangu.

Siwezi hata kumkata makofi mke wangu pindi aniudhipo kiufupi nipo ndani ya ndoa isiyo na furaha kwa upande wangu . Hiiyote ilitokana na mimi kukubali kumuoa binti yao.

Hii familia ni ya kibabe sana Huwezi amini.

Nilipo jitokeza na kutangaza nia yangu ya kumposa binti yao sharti kubwa nililopewa nikua binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwa hoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uangalizi kutoka kwao.

Hivyo ikaamuliwa kama nahitaji kumuoa binti yao basi nikubari tuishi wote hapo kwao hivyo nikakabidhiwa chumba ambacho naona kama ndio kinacho nitesa kwasasa.

Nimevumilia dharau kutoka kwa kaka na dada zake kwa muda wa miaka minne sasa ila imefikia hatua nasema nimechoka bora kama mke nikose kuliko kuendelea kuonekana ----.

Kama kuzaa tumesha zaa na tayari mtoto keshakua. Kama nyumba ninayo tena siyo ya urithi kama mtoto wao walisema bado hajakua sasa tayari ameshakua ushahidi ni huyu mtoto tulie nae.

Hapana bora nikose mke kuliko kuendelea kuonekana ----. Inafikia hatua mpaka mke wangu ambaye ndiye mtoto wao ananionea huruma jinsi ninavyo buruzwa na familia yake?

Hapa bora niende zangu nyumbani wazazi wangu wanashindwa kujitawala pindi wakija kunitembelea wanakosa uhuru Kabisa wa kupanga mambo mbalimbali na mimi mtoto wao kisa niko ukweni?

Uko wapi utamu wa ndoa ikiwa kila kitu anapanga baba mkwe? Chakula anunue mpaka nguo za mke wangu pia?
We nawe sijui mwanaume wa aina gani! Ndo ndoa za kulazimisha hizo. Hapo kudharaulika lazima. We siku amka mwambie mkeo mnahamia kwenye nyumba yenu na aga kwa wakwe. Wakigoma waache na mtoto wao Ila wewe ondoka. Wakiona upo serious watamruhusu binti akufuate. Ukiwa bwege watakutreat kama bwege tu.
 
Hivi kijana ulieamua kuoa kwa hiari yako mwenyewe unakaaje ukweni?? ili iweje?? na hayo unayoyapata ni halali yako. Huyo binti wakati unamuona alikuwa na umri chini ya miaka 18 mpaka aendelee kuangaliwa na wazazi??
Eti mdogo! MTU mpaka anapanua miguu bado mdogo hapo?
 
hapo kwenye kila kitu kununua baba mkwe hadi nguo za mke wako!
aaaah! unatushusha wanaume wenzio kama nyumba unayo ondoka hapo!
aaarrgghh!!! na ningekuwa karibu ningemgegeda mkeo akili ikukae sawa!
Ameolewa huyo anadhani kaoa! Mume sio dudu tu, majukumu ndo yanamfanya MTU kua mume
 
Moja ya mitihani ninayo kumbana nayo kwenye ndoa yangu ni mazingira ninayo ishi.

Nimevumilia sana lakini sinabudi kusema basi, liwalo naliwe lakini siwezi kukubali kuendelea kuishi ktk nyumba ambayo ni mali ya familia ya mke wangu (Ukweni).

Siokwamba nyumba ni mbovu au maeneo ni yakishamba hapana, tatizo nashindwa kujitawala ndani ya ndoa yangu.

Nashindwa kufanya maamuzi ya kiume ndani ya ndoa yangu sina kauli kabisa kisa naishi kwenye nyumba yao, nyumba ambayo imejazana kaka na dada wa mke wangu.

Siwezi hata kumkata makofi mke wangu pindi aniudhipo kiufupi nipo ndani ya ndoa isiyo na furaha kwa upande wangu . Hiiyote ilitokana na mimi kukubali kumuoa binti yao.

Hii familia ni ya kibabe sana Huwezi amini.

Nilipo jitokeza na kutangaza nia yangu ya kumposa binti yao sharti kubwa nililopewa nikua binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwa hoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uangalizi kutoka kwao.

Hivyo ikaamuliwa kama nahitaji kumuoa binti yao basi nikubari tuishi wote hapo kwao hivyo nikakabidhiwa chumba ambacho naona kama ndio kinacho nitesa kwasasa.

Nimevumilia dharau kutoka kwa kaka na dada zake kwa muda wa miaka minne sasa ila imefikia hatua nasema nimechoka bora kama mke nikose kuliko kuendelea kuonekana ----.

Kama kuzaa tumesha zaa na tayari mtoto keshakua. Kama nyumba ninayo tena siyo ya urithi kama mtoto wao walisema bado hajakua sasa tayari ameshakua ushahidi ni huyu mtoto tulie nae.

Hapana bora nikose mke kuliko kuendelea kuonekana ----. Inafikia hatua mpaka mke wangu ambaye ndiye mtoto wao ananionea huruma jinsi ninavyo buruzwa na familia yake?

Hapa bora niende zangu nyumbani wazazi wangu wanashindwa kujitawala pindi wakija kunitembelea wanakosa uhuru Kabisa wa kupanga mambo mbalimbali na mimi mtoto wao kisa niko ukweni?

Uko wapi utamu wa ndoa ikiwa kila kitu anapanga baba mkwe? Chakula anunue mpaka nguo za mke wangu pia?
Imeandikwa Mwanamme atamwacha babaye na mamaye naye ataambatana na mkewe. Wewe hilo ulukuwa unalijua ndio maana ukafanya hivyo. Wewe kama umechoka mwambie mkeo tuhamee anza wewe kutokaa baada ya siku 2 tatuu mkeo akufate na kama anajali mauhusiano yenu na unamtendea vema atakuja ila kama wewe mwenyewe ueleweki polee yakoo hatokufata ng'ooo.... Kunginee mwanamke gani anayefkia kuolewa wazazi waseme n i mdogoooo inabd mume uje ishii nayee hapa maa a mwana aitaji maelekezo bdo? Anaelekezwa nini lbd kwa mfano!

Wanaume kweli siku hizi wameishaaa....
 
ANGALIENI UJUHA HUU
binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwa hoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uangalizi kutoka kwao.
KAMA MDOGO KWA NINI AOLEWE.....
KAMA UNAOA INAKUWAJE UNAAMBIWA MASHARTI YA KIJUHA KAMA HAYO NAWE UNAKUBALI KUKAA KWA CHUMBA TENA UKWENI WAKATI MKE ANATAKIWA AKUFUATE....WEWE NI TAAAH.........
 
Back
Top Bottom