Heheh...kama binti yao kaolewa sijui wanataka akue nini tena...sijui hata ile show ya kikubwa hao wazazi huwa wanaisimamia binti yao asiumizwe!!!
Jamaa kawekwa ndondocha bila kujijua ili atumike kama ATM au kiwanda cha kufyatua shekeli...
Kuongeza mkewapili vipi wakati me mwenyewe naishi ukweni? Huyo mke wapili atakubali kuja kuishi ukweni kwangu? Ninacho taka ni kujitawala ndani ya ndoa yangu sio kingine.mkuu sio unatamani kuoa mke wa pili kwa kisingizio hiki? but pole
Mpendwa; Mkuuee mie naona unahamu ya kumpiga huyo wifu!! maana shauku ni kuwa free uanze kumdunda!!.. Hiyo sii big deal Kuhusu kuwa free just ongea na baba mwenye nyumba ndiyo alokukaribisha umueleze au weka kikao na washemeji ...uchukue uamuzi na uende kulea familiya yako nzuri kama utakavyo..ofcoz kila kitu kwa maelewano, kwani mda ulokanao unatosha nawao wapumue !! nakutakia kheri na maisha muruwa Tafadhali usimpoteze mkeo (mama watoto wako) yeye masikini hana dhambi katika hili "take care mkuu"Moja ya mitihani ninayo kumbana nayo kwenye ndoa yangu ni mazingira ninayo ishi. Nimevumilia sana lakini sinabudi kusema basi, liwalo naliwe lakini siwezi kukubali kuendelea kuishi ktk nyumba ambayo ni mali ya familia ya mke wangu (Ukweni) Siokwamba nyumba ni mbovu au maeneo ni yakishamba hapana, tatizo nashindwa kujitawala ndani ya ndoa yangu. Nashindwa kufanya maamuzi ya kiume ndani ya ndoa yangu sina kauli kabisa kisa naishi kwenye nyumba yao, nyumba ambayo imejazana kaka na dada wa mkewangu. Siwezi hata kumkata makofi mkewangu pindi aniudhipo kiufupi nipo ndani ya ndoa isiyo nafuraha kwaupande wangu . Hiiyote ilitokana na mimi kukubali kumuoa binti yao. Hiifamilia ni yakibabe sana uwezi amini. Nilipo jitokeza nakutangaza niayangu yakumposa binti yao sharti kubwa nililopewa nikua binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwahoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uwangalizi kutoka kwao. Hivyo ikaamuliwa kama nahitaji kumuoa binti yao basi nikubari tuishi wote hapo kwao hivyo nikakabidhiwa chumba ambacho naona kama ndio kinacho nitesa kwasasa. Nimevumilia dharau kutoka kwa kaka na dada zake kwamuda wamiaka minne sasa ila imefikia hatua nasema nimechoka bola kama mke nikose kuliko kuendelea kuonekana ----. Kama kuzaa tumesha zaa natayari mtoto keshakua. Kama nyuma ninayo tena siyo ya urithi kama mtoto wao walisema bado hajakua sasa teyari ameshakua ushahidi ni huyu mtoto tulie nae hapana bola nikose mke kuliko kuendelea kuonekana ----. Inafikia hatua mpaka mkewangu ambeye ndiye mtoto wao ananionea huruma jinsi ninavyo buruzwa na familia yake? hapa bola niendezangu nyumbani wazazi wangu wanashindwa kujitawala pindi wakija kunitembelea wanakosa uhuru Kabbisa wa kupanga mambo mbalimbali na mimi mtoto wao kisa niko ukweni? Ukowapi utamu wa ndoa ikiwa kilakitu anapanga baba mkwe? Chakula anunue mpaka nguo za mke wangu pia?
Dada, weacha tu kama kuongea (kuomba kuhama) nisha ongea sana, ila jibu ninalopata ni moja tu, kama nimemchoka mtoto wao basi niendezangu niwaachie binti yao, kitu ambacho nikigumu kwangu kwani bado nampenda sana mkewangu nazaidi nahitaji mtoto wangu apitie kwenye malezi ya wazazi wake wawili (mimi na mkewangu)ungejaribu kuweka hata paragraph mkuu.........
sasa kinachokuzuia kuhama na mkeo ni nini!!!!!!
hili ingebidi ulitafakari toka mwanzo....uhuru wenu nyie wawili
lazima muukose tu....kaa chin zungumza na mkeo na hiyo familia pia!!!!!
^^
Oo! God
Forgive
me
Hii hali na navyojijua na wengine wanavyonithamini hata wiki sikai hapo.
Am all independent and freedom lover
^^
Moja ya mitihani ninayo kumbana nayo kwenye ndoa yangu ni mazingira ninayo ishi. Nimevumilia sana lakini sinabudi kusema basi, liwalo naliwe lakini siwezi kukubali kuendelea kuishi ktk nyumba ambayo ni mali ya familia ya mke wangu (Ukweni) Siokwamba nyumba ni mbovu au maeneo ni yakishamba hapana, tatizo nashindwa kujitawala ndani ya ndoa yangu. Nashindwa kufanya maamuzi ya kiume ndani ya ndoa yangu sina kauli kabisa kisa naishi kwenye nyumba yao, nyumba ambayo imejazana kaka na dada wa mkewangu. Siwezi hata kumkata makofi mkewangu pindi aniudhipo kiufupi nipo ndani ya ndoa isiyo nafuraha kwaupande wangu . Hiiyote ilitokana na mimi kukubali kumuoa binti yao. Hiifamilia ni yakibabe sana uwezi amini. Nilipo jitokeza nakutangaza niayangu yakumposa binti yao sharti kubwa nililopewa nikua binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwahoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uwangalizi kutoka kwao. Hivyo ikaamuliwa kama nahitaji kumuoa binti yao basi nikubari tuishi wote hapo kwao hivyo nikakabidhiwa chumba ambacho naona kama ndio kinacho nitesa kwasasa. Nimevumilia dharau kutoka kwa kaka na dada zake kwamuda wamiaka minne sasa ila imefikia hatua nasema nimechoka bola kama mke nikose kuliko kuendelea kuonekana ----. Kama kuzaa tumesha zaa natayari mtoto keshakua. Kama nyuma ninayo tena siyo ya urithi kama mtoto wao walisema bado hajakua sasa teyari ameshakua ushahidi ni huyu mtoto tulie nae hapana bola nikose mke kuliko kuendelea kuonekana ----. Inafikia hatua mpaka mkewangu ambeye ndiye mtoto wao ananionea huruma jinsi ninavyo buruzwa na familia yake? hapa bola niendezangu nyumbani wazazi wangu wanashindwa kujitawala pindi wakija kunitembelea wanakosa uhuru Kabbisa wa kupanga mambo mbalimbali na mimi mtoto wao kisa niko ukweni? Ukowapi utamu wa ndoa ikiwa kilakitu anapanga baba mkwe? Chakula anunue mpaka nguo za mke wangu pia?
Mara moja moja si mbaya anaogopa kupigwa na familia nzimakwa hiyo utakakua na furaha ukiwa na uwezo wa kumkata makofi mkeo bila nduguze kufahamu?
Mara moja moja si mbaya anaogopa kupigwa na familia nzima
Mkuu una mawazo kama yangu.Natamani kutoa comment lakini nasita kwa kutoamini nisomacho.