Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

Nahitaji ushauri: Nimechoka kukaa ukweni

mkuu ww kabila gan? Hivi wakat unachukua uamuz huo wazaz wako walichukua hatua gan? Hivi ww ni mwanaume uliyekamili kweli? Au ndio tamaa zenu za kutaka mtelemko?
Minaona kabila sio issue. Kuhusu wazazi, walikubali kutokanana na mimi mwenyewe kuwaomba waniruhusu. Mimi ni mwanaume nilie timia ndiomaana mtoto wao kesha shusha injini (nime mzalisha)
 
makubwa yaani unapewa chumba ukweni unakubali? mi nilidhani ulipewa bonge la mjumba ...sasa unagegeda vipi? gemu naona mnalipiga kwenye silent mode tena usiku mzitooo...yaani sikupatii picha. ila una moyo aisee...
umejidhalilisha sana ujue..na hao wazazi wako wanaokuja hapo kukutembelea eti hawapo free nawashangaa sana mimi wala nisingerusha mguu hapo kamwe.
nenda kwenu haraka sana

Mna maneno nyiee!! kwikwiii
 
nachukia wanaume wasiokuwa na maamuzi kama ww. ukishaoa mke ni wako, na ww ndio baba mwenye nyumba, unatakiwa uwe na maamuzi yanayohusu familia yako
Nashuku kwa ushauri wako dada yangu, lakini naomba usini chukie
 
Jaribu pia kupeleleza hata kwa majirani, inakuwaje huyu mzee kulazimisha kuishi na wakwe zake? Huenda kuna mambo mengi nyuma ya pazia unatakiwa kuyajua kabla ya kuamua kuondoka. Ila mhimu zaidi ni kusepa hapa, hakuna raha hapa mkuu.
 
Mkuu unaweza kusema mazingira ya hiyo Familia kwa maana ya maisha yao kwa ujumla? Manake kuna familia zingine zina maagano flan ss ukiingia humo.....! Hebu lete habari kisha ntaendelea!
 
kwa hiyo umejiandaa kikamilifu kua iwapo hatokua kwao na akakukosea utamkata makofi?
Amna dada yangu, ila
mwanamke akiwa kwao anajiamini kusema/kufanya chochote akitakacho (japo
mke wangu hajawahi kuni fanyia hivyo) kwaimani kua hawizi kupigwa mbele
ya baba/kaka yake akiwa anashuhudia.
 
ungejaribu kuweka hata paragraph mkuu.........

sasa kinachokuzuia kuhama na mkeo ni nini!!!!!!

hili ingebidi ulitafakari toka mwanzo....uhuru wenu nyie wawili

lazima muukose tu....kaa chin zungumza na mkeo na hiyo familia pia!!!!!

Jamaa inaelekea mbabe maana kuna sehemu amesema anashindwa hata kumkata makofi mkewe pindi anapomuudhi, kwa condition alizopewa tu kama mtu mzima litakiwa ashituke maana ukishaoa huyo mke anakuwa sehemu ya maisha yako na of course ana change status kwa kuhamia kwenye ukoo wengu na hata chochote kikitokea yeye ndio msemaji pamoja na mke wake.

Itabidi akae chini tu na mkewe maana raha ya mme na mke ni kuwa huru na mambo yao
 
Jamaniiii kwaiyo nyie kila siku game ni chumbani tu! Hamjawahi kujaribu bafuni...jikoni....sebuleni...???/ Unasikitisha sana bro....

Duh!

wataanzia wapi wakati kutwakuchwa ndugu wametanda jikoni,koridoni,bafuni nk! Bila shaka hata huko chumbani wanawekaga godoro chini na kuzibana midomo!! Ncheke miye hehehehe!! Dah lyfu lingine hatareee!!!
 
Naweza sema kua hii nyumba kilakitu kikochini ya babamkwe kuanzia Chakula, umeme, maji mpa inafikia hatua ananunua nguo kwa wote (watoto wake na sisi wakweze) yani kama tuko kwa baba yetu vilee!. Lakini hivyo Vyote havina thama kama uhuru niutakao. Nahitaji niwe huru niwe nasauti ndani ya ndoa yangu, niwe nauwezo wakuamua chochote kuusiana na mustakabbali wa ndoa yangu bila kuhofu mtu.

hehe! Unaraha wewe! Unanunuliwa hadi boxer?? Haki ya nani miye nsingehama! Hahaha!!loh!
 
Moja ya mitihani ninayo kumbana nayo kwenye ndoa yangu ni mazingira ninayo ishi. Nimevumilia sana lakini sinabudi kusema basi, liwalo naliwe lakini siwezi kukubali kuendelea kuishi ktk nyumba ambayo ni mali ya familia ya mke wangu (Ukweni) Siokwamba nyumba ni mbovu au maeneo ni yakishamba hapana, tatizo nashindwa kujitawala ndani ya ndoa yangu. Nashindwa kufanya maamuzi ya kiume ndani ya ndoa yangu sina kauli kabisa kisa naishi kwenye nyumba yao, nyumba ambayo imejazana kaka na dada wa mkewangu. Siwezi hata kumkata makofi mkewangu pindi aniudhipo kiufupi nipo ndani ya ndoa isiyo nafuraha kwaupande wangu . Hiiyote ilitokana na mimi kukubali kumuoa binti yao. Hiifamilia ni yakibabe sana uwezi amini. Nilipo jitokeza nakutangaza niayangu yakumposa binti yao sharti kubwa nililopewa nikua binti yao hawezi kwenda kuishi mbali nao Kwahoja bado ni mdogo kiumri hivyo anaitaji uwangalizi kutoka kwao. Hivyo ikaamuliwa kama nahitaji kumuoa binti yao basi nikubari tuishi wote hapo kwao hivyo nikakabidhiwa chumba ambacho naona kama ndio kinacho nitesa kwasasa. Nimevumilia dharau kutoka kwa kaka na dada zake kwamuda wamiaka minne sasa ila imefikia hatua nasema nimechoka bola kama mke nikose kuliko kuendelea kuonekana ----. Kama kuzaa tumesha zaa natayari mtoto keshakua. Kama nyuma ninayo tena siyo ya urithi kama mtoto wao walisema bado hajakua sasa teyari ameshakua ushahidi ni huyu mtoto tulie nae hapana bola nikose mke kuliko kuendelea kuonekana ----. Inafikia hatua mpaka mkewangu ambeye ndiye mtoto wao ananionea huruma jinsi ninavyo buruzwa na familia yake? hapa bola niendezangu nyumbani wazazi wangu wanashindwa kujitawala pindi wakija kunitembelea wanakosa uhuru Kabbisa wa kupanga mambo mbalimbali na mimi mtoto wao kisa niko ukweni? Ukowapi utamu wa ndoa ikiwa kilakitu anapanga baba mkwe? Chakula anunue mpaka nguo za mke wangu pia?
Mkeo mdogo, na wewe bado mdogo, kwa taarifa yako NDOA NI BIASHARA , inaonyesha hukuwa na BUSINESS PLAN.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    3.8 KB · Views: 181
Khaaaaaaaa


Nimeisoma posti yako mara 3????

Yaani umepewa room ukweni?

Acha mashemeji wakudharau aisee

Na huyo baba anayesema binti yake mdogo mbona umemtia hadi mtoto juu (samahani nimetumia neno kali) ana udogo gani

Sasa fanya hivi

Weekend hii fungasha toka wewe na mkeo na mwanao muwaage kuwa mnahamia kwenu

Wakamkatalia mtoto wao beba mtoto wako sepa, mkeo akiona umuhimu wako atakufuata tafuta ustaarabu mwengine

Ukishindwa anza kuwakera

Mfano kwenye tendo la ndoa pigeni mikelele hadi wadate, kama vipi mkikaa sebuleni mpege mkeo mabusu peleka mkono kule ikule shika matiti mbele ya wakwe

Ila kuwa mwanaume fanya maamuzi magumu sepa aisee


Mwisho kabisa mke hapogwi makofi, anapigwa na vits au rav4


 
Minaona kabila sio issue. Kuhusu wazazi, walikubali kutokanana na mimi mwenyewe kuwaomba waniruhusu. Mimi ni mwanaume nilie timia ndiomaana mtoto wao kesha shusha injini (nime mzalisha)

kushusha injini si tatizo! Uwenda si yako, mwenye nayo ndiye anaye kwambia ubaki ili awe anakula vizuri na kumwangalia mtoto wake ambaye wewe una mwita mtoto wako ingali ya kwamba hukukamilika ki uwanaume. Unatuabisha wenzio. Kwa ushauri kapime dna kwa mtoto kisha usepe kwani majibu yatakuja tofauti na utakavyo fikiria.
 
Mkuu maneno yako yamenifanya nihisi kama Kuna nyembe imenikwama kooni mwangu. Kunasiku niliamka na Msuli nikavaa na singlendi kwa juu nilipo toka nje usokwauso na babamkwe, nasiki ananiambia sipaswi kuvaa mavazi hayo time za hasubuh kwakua mimi sio mwenye nyumba .



Ingekuwa mie ndo ningeanza kupiga msuli kila siku mpaka anitimue
 
Duuh hii nayo kali.
Yaani mimi hata kama nimejenga nina bangorooo, kwangu hukai ng'o sembuse kwa wakwe!!! Before ndoano lazima uniambie baada ya kunioa nitaishi wapi. Hauna majibu yanayoeleweka, means hauna sifa ya kuwa mume.

Wewe imekuwaje unaishi kwa wakwe tena kwenye chumba 1. Acha utoto, ondoka hapo mara moja. Hala hala usije ukajenga ukweni, maana ndio inaanzaga hivyo hivyo.
 
makubwa yaani unapewa chumba ukweni unakubali? mi nilidhani ulipewa bonge la mjumba ...sasa unagegeda vipi? gemu naona mnalipiga kwenye silent mode tena usiku mzitooo...yaani sikupatii picha. ila una moyo aisee...
umejidhalilisha sana ujue..na hao wazazi wako wanaokuja hapo kukutembelea eti hawapo free nawashangaa sana mimi wala nisingerusha mguu hapo kamwe.
nenda kwenu haraka sana

Kupewa nyumba ukweni inakubalika kutokana na hali halisi lakini si kuishi nyumba moja na wakwe huu ni zaidi ya upuuzi.

Hivi kimwanaume kama hiki kinaweza kuthubutu kumchapa kibao kinoja tu cha kelbu mke wake akimzinguwa?

Kweli kuwa uyaone wala si magorofa. Kwa harakaraka huyu possibly kabisa atakuwa raia wa ukanda wa pwani ndio kuna Product nyingi za kijinga kama hizi.
 
Mkuu unaweza kusema mazingira ya hiyo Familia kwa maana ya maisha yao kwa ujumla? Manake kuna familia zingine zina maagano flan ss ukiingia hum o.....! Hebu lete habari kisha ntaendelea!
Mkuu, mazingira ya hii familia ni yakawaida, labda kama Kuna mengine nyuma ya pazia basi mimi sijui.
 
Back
Top Bottom