Mkuu, kuna mambo mawili hapo;-
1. Si kwamba mkeo ni mtoto bali baba mkwe wako ndiyo anayekuona wewe ni mtoto kiasi kwamba huwezi kuendesha familia yako kwa kujitegemea
Au
2. Baba mkwe wako ni wale wale 'wanaokula' mabinti zao hivyo anaona mke wako akiondoka utamu wake ataukosa (samahani lkn kama nitakuudhi kwa point hii, lkn kumbuka pia dunia ndipo ilipofika kwa sasa)
Kutoka katika hali hii inayokusumbua kisaikolojia, mwambie mkeo mtoke hapo na mkaishi kwenye nyumba yako na tena uongee kama mwanaume na baba wa familia na baada ya hapo MPE taarifa baba mkwe wako kwamba baada ya mwezi unahamia kwenye nyumba yako na familia yako!