KIDUDU
JF-Expert Member
- Sep 17, 2012
- 2,558
- 1,928
I wanted to ask the same. Nadhani Jf inabid waanza ku limit agerubani ni mlala hoi?
I wanted to ask the same. Nadhani Jf inabid waanza ku limit agerubani ni mlala hoi?
klm ni shirika la nje na hata kwa ulaya dola 6000 ni ndogo mkuu. hapa dar sidhani kama kuna anayelipa zaidi ya fj na wao pia wako hali mbaya kifedhaKLM mkuu, hiyo unayosema mbona ni ya line maintenance engineers na hapo bado inategemeana na leseni alizonazo
ndugu yangu kwani cha ajaabu ni nini, unashangaa rubani kuitwa mlalahoi hahahaha labda ni hasira ila nilichoshamaanisha ni hajiwezi kifedha zaidi yangu halafu ni kijana mdogo sana zaidi yangu ambae bado anaishi kwa wazazi na ndo kwanza alikua anaanza kazi sio kama akina sie tuliooshiba makazini teyariI wanted to ask the same. Nadhani Jf inabid waanza ku limit age
Kaulize vizuri mkuu, ni kweli ni shirika la nje lakini wana base yao hapa tz kwa ajili ya line maintenance na wameajiri wabongo pia... Sikatai hiyo hela kwa ulaya inaweza ikawa ndogo lakin kibongobongo huwezi ukamuita mtu ka huyo mlala hoiklm ni shirika la nje na hata kwa ulaya dola 6000 ni ndogo mkuu. hapa dar sidhani kama kuna anayelipa zaidi ya fj na wao pia wako hali mbaya kifedha
naurdia kukueleza, ni shirika la nje tu. Hata United Nations wana ofisi Tanzania ila sio kampuni ya kitanzanania na hawalipi kw standards za kitanzania. Ila kwa kweli huwezi fananisha muajiriwa na mfanyabiashara. tena kijana mdogo aliyeanza kazi, labda hii ndio ilionipeleka kumuita jamaa mlalahaoi na hasira ya kunipokonya tonge mdomoni dah.Kaulize vizuri mkuu, ni kweli ni shirika la nje lakini wana base yao hapa tz kwa ajili ya line maintenance na wameajiri wabongo pia... Sikatai hiyo hela kwa ulaya inaweza ikawa ndogo lakin kibongobongo huwezi ukamuita mtu ka huyo mlala hoi
Asante mkuu umekuwa muwazi sana. inawezekana basi tu hajanipenda jinsi nilivyoKama unataka ukweli sio unafiki ndio huu, Wewe sio type yake labda kwa umbo (Unene, wembamba, ufupi, au urefu) au muonekano wa rangi ya ngozi yako (mweusi sana au mweupe sana) au hapendi tabia zako kama majivuno au hiyo ya kumchongea jamaa ili waachane. Lakini usinichukie kwa ukweli , kitu kizuri ni kuwa kuna mwanamke mzuri sana pengine kushinda huyo yuko sehemu anakupenda na kukutamani na wewe haujui tu. Mpotezee huyo msichana ili akili yako iwe huru umuone anaekujali na kukupenda.
Boss ni maneno magumu kumeza ila kwa hili imenipa mengi ya kufikiria kweli nilimtendea mengi zaidi ya kusema neno moja tu 'nakupenda' unaachaje kumfuatilia unayempenda yaani kila napokaa kitaaa napewa tu stori si unajua washkaji wakishajua umekufa kwa mtu mara utasikia 'demu wako siku izi hadi fellowship kanisani anaenda' na pia naanzaje kuachana nae, akinipigia simu akinitafuta akiwa na shida naanzaje kumpotezea mkuu ni shida ya kubadilishana mawazoMy brother, kwanza nianze kwa kusema yaliyokukuta nami yamenikuta mara nyingi zaidi yako. Nina stori zaidi ya 4 za aina kama yako. Nimefanya yote yanayostahili kumfanyia mwanamke lakini niliishia kuwaona wakienda kwa majamaa wengine ambao walikua hawawajali hata punje.
Baada ya kutafakari kwa muda mrefu nilikua nakosea wapi nilikuja na mahitimisho yafuatayo
1. Sikuwa Muwazi wa Hisia Zangu mapema kwa hao mabinti. Sikuwaambia wazi wazi kwamba nawataka bali niliwekeza zaidi ktk kuwaonesha nawajali kwa kiasi gani kwa kupitia matendo yangu jambo lililofanya niishie kuonekana "mtu mwema" tu asie na nia nyingine wakati nilikua naumia moyoni kwa hisia kali za mapenzi.
2. Nilitengeneza sura feki ya mtu mwema kwao kwa sababu niliwapenda na kuwataka sana ktk maisha yangu. Niliwapa kila kitu, Sikuwakosoa. Kwa kifupi I was never myself with them.
3. Sikuonesha Kujiamini na maisha yangu kwa kiasi kikubwa. Kupitia matendo yangu niliwaonesha "nina shida nao" sana kiasi cha kufanya nionekane kama mwanaume nisiejithamini kiasi kilichopelekea wanikimbie japo niliwatreat vizuri.
NAKUSHAURI NINI?
1.Kama binti umempenda na unataka kua nae kimapenzi Baada ya kujuana tu, Mwambie Waziwazi mapema, ili kama hakutaki ujue moja. Majuto ktk mapenzi yanauma zaidi ya Kibuti, Bora aseme hakutaki mapema ili uavoid kupoteza muda wako na hela kuliko kungojea hadi utakapo kata tamaa kwa vioja atakavyokuwa anakuletea.
2.Jiamini. Kua mkweli kwake. Kama hupendi jambo lolote analofanya au tabia yake, mweleze mara moja. Atakuheshimu na kukupenda.
3.Chunga sana matendo yako. Usimwoneshe kama yeye ndio kila kitu kwako, Huo ni mzigo kwake na atakukimbia tu.
4.Usifatilie maisha yake. Wewe kama umegundua ana mtu anaetoka nae nyuma yako achana nae tu. Kaa kimya ishi maisha yako.
5.Mwisho kabisa na hii ni Kidonge kwako, Huyo bibie ashakuona kama Baba yake. Kwa kifupi havutiwi na wewe kimapenzi tena na Mwanamke akishafikia hapo ni vigumu kidogo kubadili mtizamo wake. Hivyo basi achana nae maana hutampata tena na hata ukitumia njia zingine za ushawishi huyo akirudi atakua anajilazimisha kwako tu kitu ambacho sio healthy. Kubali umefanya kosa na songa mbele na maisha yako. Huyo abaki kua ukurasa kwenye kitabu cha maisha yako tu.
LONG BUT WORTH IT
mkuu cha muhimu umejifunzadah ni kweli mkuu ila ulimi hauna mfupa kwa umpendao ukiona anadanganywa, ujinga ni nilidhani nikimwonesha ataachana na huyo bwege