Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 671
- 702
- Thread starter
- #41
ni
rahisi sana kwa maneno ya kuongea nashindwa maana nikimuona tu nadhani macho yangu yananiangusha. ila ntajaribu kumchunia...dogo acha kudhani hela itakusaidia acha kudhani kutukuza mwanamke ndo utapendwa nakupa mtihani mdg km utaweza unaweza mpata jaribu kumtreat as if huwezi kua nae yaan km umeona kademu fln hv ka baya ambcho yaan upo nacho km rafiki lkn kamwe huwezi kua nacho do that with confidence no favour,giver her a gift of missin you,no gifts,disagree most of time,no kumsifia,no talkin about her relationship,no smile hovyo,show her tht you stop loving her completely,say no 75% of time....angalau hapo ataanza kukuangalia kwa jicho la mahaba be unpredictable