lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Raha ya ngoma uingie ndani ucheze. Hujui kwanini hao wanaume wanamkataa lazima kuna kitu. Hamna mwanaume asiyependa mwanamke mzuri kiakili
hawakumkataa wote waliachana mutually.. wa kwanza alimkimbia baada ya kupigwa wa pili ndo huyo alikuwa malaya sana wakaachana baada kugundua nilichomwabia kilikuwa kweli.Raha ya ngoma uingie ndani ucheze. Hujui kwanini hao wanaume wanamkataa lazima kuna kitu. Hamna mwanaume asiyependa mwanamke mzuri kiakili
jaribu kutafuta udhaif wake ndipo utampata kirahs kwan kila binadam ana udhaif wake ktk kuwa na mahusiano.... chunguza aliwapendea nini hao walopita nawe umekosa nini ambacho wao walikuwa navyo nawe huna. Pesa si kitu ktk mapenzi ila mshawishi kwa udhaif wake na kuwa mvumilivu ipo siku atajua yup ni mkwel kwake..
mtyotyo unajua kuchangamikia fursa wwkweli unatisha ni pm basi kama huyo dada anazingua?
anapiga gunia la hela teke miaka hii?
usitumie pesa kama fimbo baba nani anaujua huu wimbo jamani?
ahahaaamtyotyo unajua kuchangamikia fursa ww
Ushauri mzuri sana na uwe somo kwake.We wa ajabu...unajaribukumpata kwa kumchafua mwenzio...wanaume hatufanyagi hivo....we ulikuwa mzembe tu kumuambia ....na hata kama unajua ana mtu we ingia kivyako bila huyo mtu kumtaja
wa ndege ila hivi vindege vidogo dogo ni kijana mdogo sana hafiki 30 nimemzidi sana umri mpaka wazazi wake nawajua mtoto wa kinondoni tuDa kila mtu na mbinu zake…… sasa jamaa ulikuwa unamponda wa nini badala ya kueleza yako…… huyo ni rubani unayemwita mlala hoi ni rubani wa ndege ama guta??
Sasa wewe umepata bahati ya mtende humu humu jukwaani,huyo demu anaitwa Miss Natafuta kakupanulia wazi wazi,yaani ni kuchomeka pipe mdogo mdogo tu,mpaka anakuwa mkeo,na yeye ukimpapasapapasa kama siagi atakubwaga uje humu tena unali,changamkia huyo mrembo kabla hajaingiwa na pepo la kukataa,usilaze damu,piga fasta halafu mambo mengine polepole.wakuu msinikatishe moyo, japo nipeni mawazo
Miaka mitano unamazoea na msichana bila kumpa mautamu,ndio maana kakuona Padre,pole mtoto wewe.Mkuu kwanini unaniambia hiv
kasoro anazo, ila sio za kutisha, bado anakuwa na ni mdogo nimempita 10 years kama sikosei ana decisions za kitoto muda mwingine ila nimemzidi sana umri vinarekebishika maan sehemu nyingi za biashara yake nimekuwa mshauri wake mkubwaUshauri mzuri sana na uwe somo kwake.
Pili, inaonyesha uko desperate kumpata na hutompata ukiendelea hivyo. Desperation kwa watu walioko focused inanuswa haraka sana. Ninachoona ni kwanza ujaribu kumsahau, yaani ishi maisha yako na mpaka hapa uchukulie umemkosa na akirudi bahati.
Tatu, huyu mwanamke kwa jinsi unavyomsifia inaonekana hujaona kasoro zake, na atakuja kukusumbua sana hutoamini kwani yatayofuata kwako haukuyategemea.
Ishi maisha yako na uache kumfatilia. Hajaona dunia vizuri kutulia ni ngumu.