Nahitaji sim, nina 10,000

Nahitaji sim, nina 10,000

Hahahaahaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
JAMII FORUM UMEINGIA KWA KUTUMIA NINI??
mbona tunaumizana vichwa jamani

Acha kukariri ww
Mbna mshamba hvyooo..!! Kwn umeambiwa jamii forum lazma uingie na sim si kuna means nyingine kama pc na nyinginezo..!!
 
JAMII FORUM UMEINGIA KWA KUTUMIA NINI??
mbona tunaumizana vichwa jamani

ame change ile 10 apate buku kwa ajili ya internet cafe'! hiyo buku kuna mtu anamdai so hadi jioni atakuwa amerejeshewa ili kukamilisha 10 ambayo ndo budget yake ya kununua smartfone.
 
10000 mbona nyingi nenda karioakoo utapa kwa mafungu(zinafungwa tatu,tano kwa rubberband) au kama vip pita ubungo pale uuziwe simu ya udongo
 
10000 siyo hela ndogo kupata simu tatizo unaweza ukapata simu kutoka kwa fundi simu shaur yako... ungekuwa serious kdogo kwenye mtonyo wako wa bajet
 
Hivi kwa Dar simu zimekuwa bei rahisi namna hiyo?Too good to be true
Mkuu, tembea uone! Siku hizi ukienda Kariakoo utakoma mwenyewe kwa simu zilivyokuwa nyingi bei rahisi na wenyewe wanasema ndio zinazouza sana.Kati ya maduka 20 ya simu kariakoo, utakuta maduka manne tu ndiyo hayauzi simu za kichina bei rahisi!
 
ame change ile 10 apate buku kwa ajili ya internet cafe'! hiyo buku kuna mtu anamdai so hadi jioni atakuwa amerejeshewa ili kukamilisha 10 ambayo ndo budget yake ya kununua smartfone.
LOOOH WATU BWANA SASA HIYO ITANUNUA SIMU labda ya kuchezea watoto
 
Ongeza buku kumi ingine nikutoe kitu cha nokia original hiki hapa chini, na picha kwa msisitizo, hata uwe ndani ya kaburi network full kama mbulu kwa ma lulu, kazi kwako sasa, ni pm,
 
Kitu hiki hapa
 

Attachments

  • 1400240710540.jpg
    1400240710540.jpg
    41.8 KB · Views: 102
Simu ukienda maduka yaliyo jirani na Round About ya Msimbazi (KKoo), au ukishuka stendi ya Mbagala kuna maduka mengi utasikia simu zinatangazwa kwa spika, simu sh 5,000/=, 7,000/=, 10,000/= etc. Zingine ni minada, mnapandishiana dau kuanzia 2,000/= kwenda juu.

Spika zenyewe ni kama zile zinazotangaza "Sumu ya panye-mende-kunguni-upele-mapunye-viroboto!"

mkuu acha acha kusema uwongo mwingi, sim kkoo dukani hupati kwa elfu5, dukani unapata kuanzia elfu15 hizo za kichina, tena simu mbaaaya kama kopo. hizo za elfu5 ni zile za kwenye minada ambayo wala hujaribishiwi ukikuta mbovu mbele ya safari imekula kwako!
 
mkuu acha acha kusema uwongo mwingi, sim kkoo dukani hupati kwa elfu5, dukani unapata kuanzia elfu15 hizo za kichina, tena simu mbaaaya kama kopo. hizo za elfu5 ni zile za kwenye minada ambayo wala hujaribishiwi ukikuta mbovu mbele ya safari imekula kwako!

Okay, ukisoma vizuri nilichoandika utaona nimetaja mnada. Rudia kusoma vyema mkuu.
 
Wapendwa, nimeibiwa simu yangu. Na hyo ndo salio nililonalo kwa sasa. Nahitaj cm itakayonisaidia kwa kipindi hiki.
Km unayo, naomba nicheki now.

Me ninayo ya TTCL Ya ndani kama unataka kwa 5,000 tu
 
Back
Top Bottom