Wapendwa, nimeibiwa simu yangu. Na hyo ndo salio nililonalo kwa sasa. Nahitaj cm itakayonisaidia kwa kipindi hiki.
Km unayo, naomba nicheki now.
unahitaji sim au sim card??
Nipo Temeke, nitamwona nan pale au ni k/koo maeneo gn?
Ipo sumsung pocket kwa hiyo bei.Wapendwa, nimeibiwa simu yangu. Na hyo ndo salio nililonalo kwa sasa. Nahitaj cm itakayonisaidia kwa kipindi hiki.
Km unayo, naomba nicheki now.
pple are taking evrything as a joke!
ata mie nilitaka kukomenti hivyohivyo sema nilivyoona profile picha yako,post na hayo maelezo nkajikuta nacheka kimoyomoyo na kukuonea huruma,,,dah pole though!pple are taking evrything as a joke!