CONTINUUM HYPOTHESIS
Member
- Jan 31, 2012
- 55
- 6
Nahitaji Samsung Galaxy S3 kwa laki 6 lakin i want the real galaxy S3 na siyo zile mini version of S3
Nahitaji Samsung Galaxy S3 kwa laki 6 lakin i want the real galaxy S3 na siyo zile mini version of S3
heeeh kwan mpya kabisa wakati zinatoka si zilikuwa zinauzwa 545 US dollars...sa hivi s4 zimetoka hizi s3 prices zimeshuka tangia mwaka jana mwishon...sasa cha ajabu kipi???Are you kidding me or what? Galaxy S3 kwa laki sita? Kuna mawili...ya wizi, au fake.
heeeh kwan mpya kabisa wakati zinatoka si zilikuwa zinauzwa 545 US dollars...sa hivi s4 zimetoka hizi s3 prices zimeshuka tangia mwaka jana mwishon...sasa cha ajabu kipi???
Ipo hiyo hiyo unayoitaka ila ni made in China, then assembled in Kariakoo, Tanzania. Leta pesa iyo
nitakufanyia favour kwa laki 7 original kabisa,from uk.kuna mtu anaziuza from ukheeeh kwan mpya kabisa wakati zinatoka si zilikuwa zinauzwa 545 US dollars...sa hivi s4 zimetoka hizi s3 prices zimeshuka tangia mwaka jana mwishon...sasa cha ajabu kipi???
Hahahah kwa taarifa yako hazijashuka andaa kamilioni apo imeshuka sana laki tisa unusu. Baaas.
acheni uwongo,,, s3 sasa ivi pale m.city ni 890,000. Haifiki million,,, sa s4 ikishaingia kwa soko vizuri, s3 itauzwa 600.000.... Kwani how was it like btn s2 na s3?????.... Yani samsung wanafanya vizuri sana kutoa vitu fasta fasta,,, hata sisi wa hali ya chini tunavipata in a short while,,,
okey lemme pm you then tutafanya maelewano huko...if it's okey with you lakinnitakufanyia favour kwa laki 7 original kabisa,from uk.kuna mtu anaziuza from uk
hahahahahaha:nono:Nikopeshe hiyo hela, mvua imenyesha huku kwetu. Nataka nikanunulie mbegu then nikivuna nitakurejeshea, ili bei iwe imeshuka.
mkuu unaonekana unvifahamu hivi,hebu niambie hizi tablet za sony xperia vipi ubora wake!acheni uwongo,,, s3 sasa ivi pale m.city ni 890,000. Haifiki million,,, sa s4 ikishaingia kwa soko vizuri, s3 itauzwa 600.000.... Kwani how was it like btn s2 na s3?????.... Yani samsung wanafanya vizuri sana kutoa vitu fasta fasta,,, hata sisi wa hali ya chini tunavipata in a short while,,,
mi ninayo ila sijui kama ni Orijinal. Ni samsung SIII, model GT 19300. Made in Korea. Mwenye ajuzi anipashe hii kitu original or fake maana hiyo made in Korea inanitisha.