Nahitaji Oven ya Kuokea mikate ya Meza ya Bwana.

Nahitaji Oven ya Kuokea mikate ya Meza ya Bwana.

Amba Samedi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2024
Posts
205
Reaction score
336
Habari wanaJF,
Nimekuja kwenu na ombi. Kama kuna mfanyabiashara wa OVEN hapa naomba tuonane. Cha msingi, nahitaji kukitumia kanisani. Iweze kutumia gesi na umeme. Plate 2 au 3. Naomba uniandikie. Whatsapp ni 0748707707
 
Back
Top Bottom