[COLOR=red said:Clearing[/COLOR];1048554]Ha ha haaa clearing mie nilikuwa natamani kucheka na nimecheka kweli kweli mpaka mbavu zinaniuma hapa nilipo
Mbona inaonyesha kimekuuma sana inaelekea humuheshimu mumeo wewe ndio maana umekasirika sana
wala hakijaniuma,pengine mie ndo vuvuzela mwenyewe unaemuhitaji! ....subiri warudi huko ndo tutaongea vizuri na wewe mvunja ndoa..!!
wadau nahitaji mwanaume ambae amemchoka mkewe, akirudi nyumbani mke wake makelele makelele hamueshimu, hamsikilizi kisa wana vipato sawa au kamzidi mumewe kidogo kila akiambiwa jeuri mwanaume huna raha, anakwambia hata ukimuacha poa tu hajali kwani ana kipato chake unatamani kumuacha lakini unashindwa kwani hujui uanzie wapi kutafuta mwanamke mwingine njoo kwangu ule raha, nina miaka 31. Ila uwe unamaanisha unataka kuachana nae na sio unakuja kupoozesha machungu tu mi nataka nikupoozeshe machungu mpaka mwisho wa maisha yako.
Wadau nahitaji mwanaume ambae amemchoka mkewe, akirudi nyumbani mke wake makelele makelele hamueshimu, hamsikilizi kisa wana vipato sawa au kamzidi mumewe kidogo kila akiambiwa jeuri mwanaume huna raha, anakwambia hata ukimuacha poa tu hajali kwani ana kipato chake unatamani kumuacha lakini unashindwa kwani hujui uanzie wapi kutafuta mwanamke mwingine njoo kwangu ule raha, nina miaka 31. Ila uwe unamaanisha unataka kuachana nae na sio unakuja kupoozesha machungu tu mi nataka nikupoozeshe machungu mpaka mwisho wa maisha yako.
Hili jukwaa limefulia siku hizi
JF imeingiliwa.
jamani naomba mnisamehe na yaishe nilikuwa najaribu kutest hasira za watu humu jf tuachane na hii post maana naona mnatamani kunitia ngumi mtanisamehe mnaotafuta wenza kwa kumaanisha nilikuwa nataka kufurahisha genge tu :A S check_03::A S check_03:
niambieni kama mmenisamehe basi naapa kutorudia tena
Acha utoto, usirudie tena!!!!!!!!jamani naomba mnisamehe na yaishe nilikuwa najaribu kutest hasira za watu humu jf tuachane na hii post maana naona mnatamani kunitia ngumi mtanisamehe mnaotafuta wenza kwa kumaanisha nilikuwa nataka kufurahisha genge tu
niambieni kama mmenisamehe basi naapa kutorudia tena
ClearingHa ha haaa clearing mie nilikuwa natamani kucheka na nimecheka kweli kweli mpaka mbavu zinaniuma hapa nilipo
Wadau nahitaji mwanaume ambae amemchoka mkewe, akirudi nyumbani mke wake makelele makelele hamueshimu, hamsikilizi kisa wana vipato sawa au kamzidi mumewe kidogo kila akiambiwa jeuri mwanaume huna raha, anakwambia hata ukimuacha poa tu hajali kwani ana kipato chake unatamani kumuacha lakini unashindwa kwani hujui uanzie wapi kutafuta mwanamke mwingine njoo kwangu ule raha, nina miaka 31. Ila uwe unamaanisha unataka kuachana nae na sio unakuja kupoozesha machungu tu mi nataka nikupoozeshe machungu mpaka mwisho wa maisha yako.