Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,944
Basi tatizo ni flash yako sio sound bar mkuu..!!Iyo si ntasugua mpka cheche zitoke ila aiplay
Basi tatizo ni flash yako sio sound bar mkuu..!!Iyo si ntasugua mpka cheche zitoke ila aiplay
Flash iko sawa kabisa ina nyimbo za kutosha 😆😆😆. Litoto lihuni wewe😆Basi tatizo ni flash yako sio sound bar mkuu..!!
Ukubali matokeo. Ukikuta ambaye hajakeketwa,uniambie.Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.
Njoo tufunge ndoaUnataka wa mjini au kijijini
Njoo tufunge ndoa
Ndugu niunganishe na mrangj wa kondoaMimi nimeoa Mtatoga au wanajiita watatulu, aiseee kwanza mzuri wa rang na shepu, anajua kunjunjana, msafi, anajua maana ya kuolewa na kulea watoto, mvumilivu ktk shida na kuhimili changamoto. Sijawahi kujutia kumuoa na zaid ya kuona nilichelewa na kupoteza muda na madungaembe ya kiswahili.
Changamoto yake hajui kusema sorry na anasimama na jambo lake akiamua, hapo namvumilia tuni weakness ambazo nazimudu na tunaenda vizur, its 4th year of marriage
Ndugu niunganishe na mrangj wa
Tafuta mwenyewe mkuu😆. Warangi Nao ni wazuri, na wana upendo, kuna mmoja nilimvunja bikra wakat nipo Dom, sema sikuwa tayar kuoa time iyo nikambwaga, sio wabaya kakaNdugu niunganishe na mrangj wa kondoa
WEka namba hapa nikuuzie. Mie nipe nusu ya hao ng'ombe.Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.
Ngombe kumi standard ya ndama 800,000Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.
Ndoa mitihani mitupuMasai Dada njoo uokoe jahazi huku 😂
WanaoanaWale huwa hawaolewi na waswahili, wanaoana wenyewe kwa wenyewe ila wanaume huoa waswahili pia. Labda uumpate mmasai msomi aliyeachana na mila zao japo huwa hawaachi mila zao pamoja na usomi wao. Huwa hawana ubaguzi linakuja suala la mapenzi mswahili hukubaliwa ila kuoa ni shughuli pevu
Ushampata?Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.