Nahitaji mwanamke wa kimasai

Nahitaji mwanamke wa kimasai

Kwa heshima ya boma .Hii ni mbaya asee.
 
Sio kweli utahiriwe mara ya pili, ni story tu,
Unapopinga jambo uwe na uhakika. Kwetu Kuna kijana alienda mjini kabla hajatahiriwa. Ilipofika wakati wa kutahiriwa akaenda kuchukuliwa kwa nguvu maana alikuwa hataki kuja kutahiriwa. Baadae ikabainika alienda kutahiriwa hospital miaka 5 iliyopita. Alitahiriwa upya
 
Unapopinga jambo uwe na uhakika. Kwetu Kuna kijana alienda mjini kabla hajatahiriwa. Ilipofika wakati wa kutahiriwa akaenda kuchukuliwa kwa nguvu maana alikuwa hataki kuja kutahiriwa. Baadae ikabainika alienda kutahiriwa hospital miaka 5 iliyopita. Alitahiriwa upya
Kama ni Masai labda ila mtu back akitaka kuoa Masai mpaka atahiriwe upya ,hapana
 
Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.
Njoo huku Farkwa - Kondoa kwa wasandawe Mkuu.
Hutojutia bidhaa Bora ziko huku.
 
Wamang'ati wapo huku Karatu, ndanindani, kuna wahdzabe na watatoga pia, sema kuoga ni mpaka wanyeshewe na mvua.
Mimi nimeoa Mtatoga au wanajiita watatulu, aiseee kwanza mzuri wa rang na shepu, anajua kunjunjana, msafi, anajua maana ya kuolewa na kulea watoto, mvumilivu ktk shida na kuhimili changamoto. Sijawahi kujutia kumuoa na zaid ya kuona nilichelewa na kupoteza muda na madungaembe ya kiswahili.
Changamoto yake hajui kusema sorry na anasimama na jambo lake akiamua, hapo namvumilia tu😀 ni weakness ambazo nazimudu na tunaenda vizur, its 4th year of marriage
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom