Mtaani wapo ,ila nikipata anaetokea hapa au anaifahamu Jf huyu hata uelewa wa mambo ni mkubwa kuliko wa mtaaniAchana na mamamake membamba, yana unyafuzi mpaka kichwani! Yatakuzalia watoto hamnazo! Ila na wewe mkuu una changamoto, ina maana huko kote unakopita hujawahi kuona mwanamke mwembamba mpaka uje kutusumbua Sisi huku?
VERBOSE.Yuko wapi
Mkuu hivi inawezekan kumvutia hisia pisi iliyonyooka kuchezea poolAmekuja mwenyewe bhana kwenye huu uzi 😂.
Kweli kabisa ka-stake unakua unachapia kwa juuMimi siwezi nishazoea kubonyeza bonyeza matako ndio napata mzuuka vizuri mpaka wazungu wanakuja wanatoka kusalimia
Sana tu. Mimi mbona Kuna mmoja mwenye umbo la rula Kila nikimwona mnara unakauka fasta na nakwea nguzo.Mkuu hivi inawezekan kumvutia hisia pisi iliyonyooka kuchezea pool
Bila kusahau TlaatlaahLucas Mwashambwa ata kufaa sana
Mali za chama huko lumumbaBila kusahau Tlaatlaah
Ujamuelewa mtoa mada anawalenga wadada wa JF anasema wanauelewa kuliko wa mtaanPita pita kwa jamii za wamasai.