Nahitaji msaada wenu wa haraka

Kinachotutesa watu ni mapenzi Na pesa tu hahaha
 
Wewe unaona na huyo mwanaume mnaendana?
KiElimu, Family Status na Financial Freedom?

Isije kuwa alikuja kwako kwa papuchi tu.
 
Hapa ndiyo penye tatizo. Kama unaamini ndani ya moyo wako kwamba umejitahidi kumuonyesha penzi na badala
yake jamaa bado anakutenda hivyo, ni vyema ukaacha kuuchosha moyo wako. Acha kumbembeleza, mpe nafasi
"anayodhani" anaihitaji. Jilinde asikutumie, yaani acha kuendekeza shida zake. Asipojiongeza itabidi wewe ujiongeze usonge mbele na maisha.
 

Kabla ya kukushauri ni bora ujibu haya maswali:

1. Una miaka mingapi?
2. Huyu ni mchumba? Au mnakulana tu?
3. Una msupport financial?
4. Wewe Una Kazi?
5. Yeye Ana Kazi?

Ukijibu hayo maswali kwa ukweli ninaweza kukushauri vizuri sana, Kama hutaki kuyajibu then ushauri wangu;

“Achana na huyo mtu, Ganga moyo wako, achana na kufukuzia mahusiano, yatakuja yenyewe”
 
Naona unavutia kwako
 
Apo tumesikiliza upande wako tu bado kwa huyo mwamba nae hawezi kosa neno...Kama kawaida wanawake hua mnalalamika Sana kuhisi hatuwafanyii mazuri Yani kosa moja litafunika mazuri yote.

Yawezekana unayafanya kikamilifu hayo uliyosema Apo ila utakua na mapungufu/tabia zako ambazo zinafanya uone mwamba kabadilika na inawezekana kabisa ashakwambia hataki 1,2,3 lakin umekua sikio la kufa.

Mawasiliano Ndio nguzo ya mahusiano ila binafsi nakereka na sim za kila mda ambazo si za lazima na kutuma msg kila wakati ukitegemea nitakujibu hell no. ..! Hua mnalalamika kua mbona kipind tunawafukuzia au mwanzo wa mahusiano hua tunakua tuko active Sana..? Na Yale mazoea ya jinsi mlivokua mnawasiliana yakipungua kdgo mna Anza kuona Kama tumebadilika .Jibu Ni ndio hua tunakua active ili tuwanase vizuri hata Research inatumiaga mda na gharama akili pia...Na tukishazoeana Yale mapenzi ya Moto yanaishaga kinachobaki Ni bond ya nyakati zenu tu.
 
Kwa iyo akiwa na shida ya kunyandua tu ndio anakutafuta aisee pole sanaa cha muhimu kaa nae ongea nae kwa undani akueleze tatizo nini na kama ana mtu mwingine akueleze ukweli tu hata kama itakuuma ila ukweli utakuwa ushajua
Nashukuru
 
1. Umri late 20's
2. Sio mchumba
3. Hapana, simsupport wala hanisupport
4 & 5. Wote tuna kazi

Nashukuru nitazingatia.
 
Asante kwa ushauri
 
Wewe unaona na huyo mwanaume mnaendana?
KiElimu, Family Status na Financial Freedom?

Isije kuwa alikuja kwako kwa papuchi tu.
Kanizidi elimu, family status hatujazidiana sana(kwa mujibu wa maelezo yake maana sijawahi kuonana nao), financially sina hakika sana hakuwa ananiambia vingi kuhusu uchumi wake.
 
Mkuu pole kwa unayopitia sasa, jitahidi ukiweza mfungie Vioo!
 
Apo tumesikiliza upande wako tu bado kwa huyo mwamba nae hawezi kosa neno...Kama kawaida wanawake hua mnalalamika Sana kuhisi hatuwafanyii mazuri Yani kosa moja litafunika mazuri yote.
Nashukuru lakini tulikuwa tunawasiliana sana asubuhi kabla ya kazi na jioni baada ya kazi.. hapa katikati labda kuwepo na kitu cha lazima na hii ni kutokana na nature ya majukumu yetu.

Walau yangepungua kidogo ila ni yamepungua sana na hata ikitokea tuko mazingira ya pamoja hatuonani tena kama mwanzo bila sababu yoyote.

Hajawahi kuniambia kuwa kitu hiki nikiache hakipendi, labda kama kuna kitu na hakuwa ameniambia japo nilimuuliza na hakusema kama nimemkosea kwa chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…