Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
Sawa kaka mankaCheka tu kyaa,maisha ni mafupi sana kuanza kuibebesha nafsi yako mizigo ya hasira...
Relax manka wetu.
Sawa kakaPole sana kwanza acha pombe dia mtoto wa kike na pombe sio vizuri .pili una marafiki wa kike aina gani? Jaribu kuwa na urafiki na watu ambao sio watumia pombe.
Pale unapokuwa moodless nenda kwa huyo rafiki na ukifika fanyeni vitu vya kukurudisha kwenye mood mnaweza kuangalia movie etc. Acha pombe dia . pole sana
Ile Sacrament inatakiwa ipewe Nobel Peace Price, inawafanya watu kuwa watulivu na wenye amani sana aisee.Haziponyi bali zinatuliza kwa muda tu [emoji1]
Asante kakaPole sana dada yangu, Mimi pekee ndo nina dawa ya hasira zako. Hata hivyo hatua ya kwanza kuwa karibu na Mungu kwa kusikiliza kwaya. Acha kuangalia tamthilia na Movie za kutisha, pendelea kuangalia Comedy na kusikiliza mziki wa Kufurahisha sio hii Miziki ya kuumizwa.
Tembelea marafiki, Achana na Pombe, na vileo vyote. Ukipata nafasi uwe unaenda kutembelea beach. Jitahidi kutojibizana na mtu. Jifunze kuwa Mvumilivu. Safiri kubadilisha mazingira. Kuwa mbali na watu wanaokutia hasira.
Uwe unanitumia PM nikupe ushauri nasaha zaidi.
Pole tena ndugu yangu.
Asante mtaniUlishafanyiwa mambo yakukuudhi kidogo kidogo ukiwa mdogo na ukiwa mkubwa sasa moyo wako umejenga kichuguu cha hasira hata kwa vitu vidogo.
Kwanza kukasirika sana kunakuumiza wewe zaidi ya yule utakaye mpiga yeye anapata maumivu ya mwili tu ila wewe unatengeneza sumu hatima ugonjwa wa moyo. Jitahidi kusamehe mabaya unayoyakumbuka waliokufanyia watu hebu iambie nafsi yako nahitaji moyo mwepesi unaijua hakuna binadamu mkamilifu hivyo wakikosea usiwape nafasi. Nicheki inbox nikudirect toward solution
Pole mtani
Pole miss chagga, Jifunze kujikubali, pia ujue tu kwamba duniani mapungufu yapo, na kumbuka kuwa hapa duniani; you win some, and you lose some.habari zenu wakuu.
ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..
kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..
wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.
nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.
asanteni
Kuna ndugu yangu nilimigaga na nondo ndiyo huwa kama kuna issue yangu hukaa mbali anasema atalipuka huyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unaripuka kama bom. Unapiga mateke, na kunywa mbege.
Pole sana
Asante mkuuPole miss chagga, Jifunze kujikubali, pia ujue tu kwamba duniani mapungufu yapo, na kumbuka kuwa hapa duniani; you win some, and you lose some.
[emoji23] [emoji23] haya bwana...Uuuuuupsiii mm mbona nimekutembelea mara kibao na shida yangu hujanisaidia
Btn mzima wewe za masiku mengi
Kuna ndugu yangu nilimigaga na nondo ndiyo huwa kama kuna issue yangu hukaa mbali anasema atalipuka huyo
Hapo mimba itakuwa imekwishaingiahabari zenu wakuu.
ninatatizo kubwa la hasira nimejaribu kupitia thread za wengine walioomba msaada naona sijafanikiwa .. sasa naomba nijielezee mimi wanasema mficha maradhi kifo kiamuumbua.. naelekea kufa sasa sababu jana nimekasirika nimefanya mambo ya ajabu hapa nilipo mwili unauma kila mahali, natetemeka kama teja sababu ya kunywa pombe sana ..
kwanza nachukua muda kukasirika ila huwa nalipuka kama bomu, unaweza niudhi leo jambo kubwa ila kesho ukaniudhi kidogo nikakufanyia jambo kwanza huwezi elewa na mara nyingi hutegemei reaction ile kwa hiyo huwa nakuwa mshindi nakupa ngumi mateke kukutafuna nikibahatika ndani ya dakika mbili nakuta nimefanya tukio lakutosha..
wakati mwingine nalia sana na ukiniongelesha nalia kwa sauti kama napigwa aibu kwa mtoto wa kike.
nakunywa pombe sana ili nilewe nizime nilale lakini hili nina miezi 10 sijafanya japo jana nimelifanya tena na mimi nilishafanikiwa katika hili naona linanirudia tena...(japo akili yangu na nafsi yangu inaniambia bora kurudia kunywa pombe )
naombeni msaada nifanye nini napo kasirika ..
NB: nikikasirika huwa nashindwa kuongea na ukiona umeniboa naongea jua sijakasirika ila nikaa kimya kaa mbali na mimi... mpaka nawaza au bado na utoto utoto japo ni mkubwa.
asanteni
Halafu me charming sana sema huwa na react kama bomu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sikutegemea kama upo hivo
Mkuu hapana ni issue ya miaka nimechoka kuwa kama bomuHapo mimba itakuwa imekwishaingia
Kwan upo single au upo ndani ya ndoa?Mkuu hapana ni issue ya miaka nimechoka kuwa kama bomu
Sijawahi hata kukemea mwanamke, vita vyangu vilikuwa na wanaojifanya vidume, wew ni shahidi cjawahi hata kukunyoshea kidole[emoji23] [emoji8]Dear...mbona nakuogopa ghafla??
Sasa si utanichakaza sura jamani?
Halafu me charming sana sema huwa na react kama bomu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijawahi hata kukemea mwanamke, vita vyangu vilikuwa na wanaojifanya vidume, wew ni shahidi cjawahi hata kukunyoshea kidole[emoji23] [emoji8]
Kweli mbegu nazo huleta hasiraITAKUWA NI STRESS TU,KWANI UMEOLEWA? ILI TUANZE TIBA SASA