nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,663
hahahaaaaaaaa
beach gani?
baada ya beach unamwaga?
beach gani?
baada ya beach unamwaga?
Tunaenda kuoga au kuogelea?
Kunawa labda
hahahaaaaaaaa
beach gani?
baada ya beach unamwaga?
Pale kona bar unajichagulia kama kuku, mfuko wako tu....
Unaomba mpenzi kwani hapa wanagawa mademu?
Beba sabuni nenda nayo
kama kuoga bafu si lipo nyumbani???Tunaenda kuoga au kuogelea?
Lazima amwage hata mimi lazima nikumwagie.
Sie watu wa kanda ya ziwa tumezoea kuoga ziwanikama kuoga bafu si lipo nyumbani???
hahahhaha mwenzio anataka kidaslamu bahari,we unamwambia habari za mtoni...jaman!!Sie watu wa kanda ya ziwa tumezoea kuoga ziwani
kama ni kuoga aseme nibebe dodoki na sabuni
Sie watu wa kanda ya ziwa tumezoea kuoga ziwani
kama ni kuoga aseme nibebe dodoki na sabuni
Umuoe nani wewe, wenyewe una matatizo kama serikali ya jk....Aah kumbe wewe ni ndugu yangu basi ngoja nitupe ndoano niondoke na mke.
Ndo angesema sasa ili nivae kale kanguo mkanda wake umepita huku hivi.....hahahhaha mwenzio anataka kidaslamu bahari,we unamwambia habari za mtoni...jaman!!
Umuoe nani wewe, wenyewe una matatizo kama serikali ya jk....
Bei ya kipande cha sabuni haifiki hata bei ya daladala kutoka huko kwenu Mbagala Kuu. Kwa nini usinunue hicho kipande cha sabuni ukaingia nacho hapo mto Mzinga ukamaliza shughuli zako? Tena utakuwa umeokoa gharama ya nauli ya daladala Mbagala Kuu-Beach na kurudi.Husika na kichwa cha ujumbe hapo juu mimi ni kijana wa kiume naomba mpenzi aliye hapa dar ani PM tuelekee beach tukapate upepo natanguliza Asante
Nitaacha michepuko chadema ikiingia madarakani....Sina matatizo Salt! ila yule mwanamke ndio alinichanganya ila naamini nikikupata na ukanipa vizuri,kupika vizuri,kunijali na uache michepuko yako mbona tutaishi tu,tena nitakununulia vitz.serikali ya jk imenizidi matatizo.