kassongo iddi
Member
- Oct 17, 2016
- 19
- 24
Mimi nipo hapa dar na natafuta mpenzi wa kike ambaye anaweza kuwa mke wangu, umri wake usizidi miaka 50, umri wangu ni miaka 55.
Tuwasiliane PM.
Tuwasiliane PM.
Una maana gani na upo wapi ila nimependa miguu yako na namba zako zipi nisikie sauti yakouzi wa usiku usiku hivi
Sio bure embu jichukulie sheria mkononi halafu uje ku edit uzi wako
Yaani ajichukulie Sheria mkononi, na wachuchu mmejaa JF?!!uzi wa usiku usiku hivi
Sio bure embu jichukulie sheria mkononi halafu uje ku edit uzi wako
Why sheria mkononi π€£π€£uzi wa usiku usiku hivi
Sio bure embu jichukulie sheria mkononi halafu uje ku edit uzi wako
πππYaani ajichukulie Sheria mkononi, na wachuchu mmejaa JF?!!
Acha izo bana.
Msaidieni mzee huyo.
πππWhy sheria mkononi π€£π€£
Nilikuwa sijaucheki. ππ
Sina cha kumsaidia aiseeee miaka ilivyo mingi hivo akifa me nitaelezeaje umma
Achukue sheria mkononi huku akisubiri pakuche π€£π€£πππ
Kaandika chap halafu usiku sana ujue
We hutaki Kula mafaoππuzi wa usiku usiku hivi
Sio bure embu jichukulie sheria mkononi halafu uje ku edit uzi wako
Wa mafao wanajulikana banaWe hutaki Kula mafaoππ
Nimependa experience yako Dada una kitu na utafika mbali πWa mafao wanajulikana bana
Hawako hivyo ππππ
ππππNimependa experience yako Dada una kitu na utafika mbali π
Mimi nimekupa koneksheni ya mafao ili ufike mbali πππππ
Wachana na mimi kijanaβ¦.
Na wewe kwa hiko kiherehere utafika mbali
I surrender πππuzi wa usiku usiku hivi
Sio bure embu jichukulie sheria mkononi halafu uje ku edit uzi wako